Wasanii wanaojieleza vizuri kwenye interview hawa

Mapensho star

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,052
Reaction score
4,104
Nimekuwa nikivutiwa na baadhi ya wasanii kwenye interview zao wanazofanya wamekuwa wanaheshimu kipindi cha mtangazaji na radio pia hata kama wapo level zingine lakini wanakumbuka walipotoka.

Nitawalist hapa na we utaweka wako pia
1.Professor J
2.Diamond
3.Kala Jeremiah
5.Barnaba
6.Darasa
7.Weusi
8.AY
9,Fid Q
10.Lady Jaydee
 
Upo sahihi kabisa kwa 100%

Nimependa umekuwa very fair
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…