Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Mzee Kigogona asiye jitambua kwenye interview ni TID
Kwani Diamond anaelimu gani mpaka aongee vzr?Diamond ni mzungumzaji mzuri na ni kijana anayeonekana ana upeo mzuri.
Naamini hata darasani angekuwa yuko vizuri endapo angepata fursa nzuri ya kusoma.
Unamkubali katika masuala ya usanii au interview?Kwa vile sijamuona mtu nnayemkubali hpo kwnye list moja kwa moja napinga
Kwani Diamond anaelimu gani mpaka aongee vzr?
Inasemekana aliishia form two japo sina hakikaHuhitaji elimu kubwa kuwa muongeaji mzuri.
Elimu ya Chibu siijui ila sidhani kama ni kubwa.
hahahaaaahha!na asiye jitambua kwenye interview ni TID
Huyu ni shida....na asiye jitambua kwenye interview ni TID
Upo sahihi kabisa kwa 100%nimekuwa nikivutiwa na baadhi ya wasanii kwenye interview zao wanazofanya wamekuw wanaheshimu kipindi cha mtangazaji na radio pia atakama wapo level zingine lakini wanakumbuka walipotoka nitawa list hapa na we utaweka wako pia
1.professor j
2.diamond
3.kala jelemay
5.barnaba
6.darasa
7.weusi
8.ay
9,fid q
10.lady jay d
warioba, mnyama!Mzee Kigogo
Power bankMzee Kigogo