Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
mtoto wa Nimrod Mkono huwa anaongea vizuri sana na anajielewa kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAO WOOTE HAWAMFIKII MKUDE SIMBA AU KITALE JAMAA ANAJUA KUJIELEZEA ALAFU HANA MBWEMBWE ZA ELIMU/KIINGEREZA AU MAFANIKIO YAKE
NAOMBA NIMTETE KIBA.
JAMAA ANAJUA KUONGEA NA YUPO BTIGHT SANA TATIZO LIPO KWA WATANGAZAJI WETU HUWA WANAHOJI MASWALI KUHUSU BEEF NA CHIBU. KITU AMBACHO JAMAA HAPENDI KUHOJIWA KUHUSU MTU MWINGINE NAHISI HATA WW HAPO UKIULIZWA KITU USICHOKIPENDA KILA DAKIKA LAZIMA UTAPOTEZA ILE FURAHA YAKO NA UTAONEKANA NA NYODO...
Ahahahaahahahaaha ndo kinani hicho?Jackline wolper, napendaga akiwa kwenye interview anajitahidi kuongea ukweli sio kama kiandunje, kinakana hakina bwana kesho yake kinafiwa na bwana
KiluluAhahahaahahahaaha ndo kinani hicho?
Wala sijakataa nilikuwa namjibu nyani ngabuIla sasa hivi anaweza kukulisha wewe na ukoo wako mwaka mzima balanced diet
Ngabu, nakuunga mkono! Akiwa anahojiwa kuhusu mziki na biashara ya mziki huwa anajieleza vizuri kweli mpaka nashangaa hasa nikirejea historia yake alikotoka! Lugha ya malikia nayo ukilinganisha na Elimu yake huwa nampa heko!Diamond ni mzungumzaji mzuri na ni kijana anayeonekana ana upeo mkubwa.
Naamini hata darasani angekuwa yuko vizuri endapo angepata fursa nzuri ya kusoma.
Ngabu, nakuunga mkono! Akiwa anahojiwa kuhusu mziki na biashara ya mziki huwa anajieleza vizuri kweli mpaka nashangaa hasa nikirejea historia yake alikotoka! Lugha ya malikia nayo ukilinganisha na Elimu yake huwa nampa heko!
Mwisho wa siku nagundua kuwa yupo level hiyo si kwa Bahati, ni kwa sababu alidhamiria. Sasa wasanii wengine hawajifunzi kwa nini jamaa yupo level hiyo badala yake wanaanzisha bifu naye kwamba wanamzidi! Wanasahau kuwa wao wanapozidi kufanya personal attacks, yeye ame-concentrate kutengeneza pesa na mwisho wa siku gap la kiuchumi na mafanikio lililopo kati yao linazidi kukua kila kukicha!
Ipo siku wataelewa but it will be too late for them to correct!
ngoja waje...Diamond ni mzungumzaji mzuri na ni kijana anayeonekana ana upeo mkubwa.
Naamini hata darasani angekuwa yuko vizuri endapo angepata fursa nzuri ya kusoma.
Kuna kipindi alihojiwa na salama.. Siku hiyo aliboa watazamaji mpaka na salama mwenyewe.. Kwanza alikuja ameshalewa(sijui ndo ngada hizo) pili akawa hana cha kuongea zaidi ya kelele tu... Yeye kujisifia tuuu basi.. Ilifika kipindi nikamwona salama ameshammind sema ulegendary wake ndo ukamfanya salama asimpe makavu live but daahhh aliboa sana ile siku !na asiye jitambua kwenye interview ni TID
Sasa ulikuwa na maana gani kuingiza suala la 'kusoma' kwenye comment yako?Huhitaji elimu kubwa kuwa muongeaji mzuri.
Elimu ya Chibu siijui ila sidhani kama ni kubwa.