Wasanii wanaojua mziki lakini hawapati promo ya kutosha..

Wasanii wanaojua mziki lakini hawapati promo ya kutosha..

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Foby...
Huyu jamaa ana ngoma kali.. yaani zotee ni konki ukiongeza na hii ya juzikati "niokoe "..sema jamaa hapewi promo kubwa..

Ibrahnation....
Huyu jamaa katika watu ambao hawana bahati ni huyu mchizi ila siku hizi ameanza kueleweka na pia wasafi Festival atakuwepo..

nedy music...
huyu mpemba anakuwaga yupo yupo tuu ila jamaa yuko vizuri sanaa yaani konki.. tatizo promo tuu..ile ngoma "nishalewa "Ilibidi iwe wimbo wa taifa sema ndo hivyo yaani...

The mafik....
Katika makundi yaliyopo sasa hivi.. huwezi kuwaacha the mafik.. jamaa wana hits kibao.. Kama dodo. Carola, passenger.. na zingine kibwena yaani.. ila ni promo tuu

Wengine ongezeeni..
 
kuna jamaa aliimbaga hizi nyimbo 'nini' na 'everyday'...hata jina lishianitoka...
 
Unaposema promo unamaanisha nyimbo kupigwa kwenye radio na tv?

Kama ni hivyo basi hao wasanii uliowataja naona wamezubaa wenyewe tu, social media ndio njia sahihi ya kufanya promo kuliko radio na tv kwa sasa.

Si unaona jinsi mobeto anavyofanyiwa promo na mange mpaka video kuwa #1 on trending kwenye youtube? Au WCB.

So washauri hao wanamuziki watafute strategy nzuri ya kufanya promo kwenye social network na sio radio na tv.
 
Back
Top Bottom