Wasanii wanaojua mziki lakini hawapati promo ya kutosha..

Wasanii wanaojua mziki lakini hawapati promo ya kutosha..

Hata huku kwenye social media sio kwepesi hivyo..unadhan hawa akina foby hawapo insta, youtube na fb?
Wakati mwingine huwa naamini ni suala la muda tu..muda ukifika mtu atatoboa tu kikubwa ni kuendelea kufanya kazi nzuri...
Kweli kabisa.. Nani atakufollow ikiwa wewe sio maarufu??
 
Kuna jamaa anaitwa STEVE RNB alikuwa na kibao kikali sana kinaitwa Listen.

Ngoma kali sana na haina viewers youtube...sijui tatizo ni nini
Steve rnb ana wimbo unaitwa listen?? Ngoja niutafute kama ni kweli...

Ila jmaa ni mkali sana
 
Steve rnb ana wimbo unaitwa listen?? Ngoja niutafute kama ni kweli...

Ila jmaa ni mkali sana
Jamaa ni mkali sana....Na cha ajabu,leo Steve akitoa wimbo na Hamisa mobeto naye akatoa... Wa hamisa utakuwa na viewrs wengi zaidi.

Wabongo watu wa ajabu sana
 
Foby...
Huyu jamaa ana ngoma kali.. yaani zotee ni konki ukiongeza na hii ya juzikati "niokoe "..sema jamaa hapewi promo kubwa..

Ibrahnation....
Huyu jamaa katika watu ambao hawana bahati ni huyu mchizi ila siku hizi ameanza kueleweka na pia wasafi Festival atakuwepo..

nedy music...
huyu mpemba anakuwaga yupo yupo tuu ila jamaa yuko vizuri sanaa yaani konki.. tatizo promo tuu..ile ngoma "nishalewa "Ilibidi iwe wimbo wa taifa sema ndo hivyo yaani...

The mafik....
Katika makundi yaliyopo sasa hivi.. huwezi kuwaacha the mafik.. jamaa wana hits kibao.. Kama dodo. Carola, passenger.. na zingine kibwena yaani.. ila ni promo tuu

Wengine ongezeeni..
BABA_LEVO.
 
Back
Top Bottom