Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #41
Kweli kabisa.. Nani atakufollow ikiwa wewe sio maarufu??Hata huku kwenye social media sio kwepesi hivyo..unadhan hawa akina foby hawapo insta, youtube na fb?
Wakati mwingine huwa naamini ni suala la muda tu..muda ukifika mtu atatoboa tu kikubwa ni kuendelea kufanya kazi nzuri...
waje tuu kwangu producer pancho wa pili..Wasaidie wapate promo
Huyu si zilipendwa??Afande sele
Anahitaji kuhurumiwa pia[emoji87] [emoji87]Huyu si zilipendwa??
bwana mdg huwa anampenda huyu jamaa balaa, siku nikamtumia nyimbo zake alifurahi sanaVITALIS MAEMBE
Steve rnb ana wimbo unaitwa listen?? Ngoja niutafute kama ni kweli...Kuna jamaa anaitwa STEVE RNB alikuwa na kibao kikali sana kinaitwa Listen.
Ngoma kali sana na haina viewers youtube...sijui tatizo ni nini
Jamaa ni mkali sana....Na cha ajabu,leo Steve akitoa wimbo na Hamisa mobeto naye akatoa... Wa hamisa utakuwa na viewrs wengi zaidi.Steve rnb ana wimbo unaitwa listen?? Ngoja niutafute kama ni kweli...
Ila jmaa ni mkali sana
Hahahaha dah noma sanaAnahitaji kuhurumiwa pia[emoji87] [emoji87]
Kule Moro naskia jamaa ana beti hatarii[emoji23] [emoji23]
Yeah ibrahnation ni 🔥Ibrahnation hatari
BABA_LEVO.Foby...
Huyu jamaa ana ngoma kali.. yaani zotee ni konki ukiongeza na hii ya juzikati "niokoe "..sema jamaa hapewi promo kubwa..
Ibrahnation....
Huyu jamaa katika watu ambao hawana bahati ni huyu mchizi ila siku hizi ameanza kueleweka na pia wasafi Festival atakuwepo..
nedy music...
huyu mpemba anakuwaga yupo yupo tuu ila jamaa yuko vizuri sanaa yaani konki.. tatizo promo tuu..ile ngoma "nishalewa "Ilibidi iwe wimbo wa taifa sema ndo hivyo yaani...
The mafik....
Katika makundi yaliyopo sasa hivi.. huwezi kuwaacha the mafik.. jamaa wana hits kibao.. Kama dodo. Carola, passenger.. na zingine kibwena yaani.. ila ni promo tuu
Wengine ongezeeni..
Mkuu hilo jina la mwisho ni langu ujueBABA_LEVO.