Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Imekuwa ni tabia ya Wasanii wengi kutumia Ngada wanapopata umaarufu hali inayopelekea vipaji vyao kuzimika kama mshumaa jangwani.
Hivi karibuni kumekuwa na tetesi za Msanii darasa kuwa katika kundi hilo, ukiacha huyo wapo pia akina Chidi, Kiuno bila mfupa na yule wa Nibebe. Ukiachana na hao ni Msanii yupi unamjua anatumia hiyo kitu?
Hivi karibuni kumekuwa na tetesi za Msanii darasa kuwa katika kundi hilo, ukiacha huyo wapo pia akina Chidi, Kiuno bila mfupa na yule wa Nibebe. Ukiachana na hao ni Msanii yupi unamjua anatumia hiyo kitu?