Nandy MachupiiNandy!!!
Chid Benz tangu aseme ataimba na 2pac nilijua yule anatumia hadi Vumbi sio unga tu.
Alikuwa na logic sema hamkumuelewa kisa keshakuwa teja!
Nandy!!!
acheni kumsingizia my AFRICAN PRINCESS mapimbi nyinyiNandy!!!
Sitanii, na mwalim wake alikua bilnas!!! Muda utaongea!!![emoji15][emoji15] Acha Utani.
Sitanii, na mwalim wake alikua bilnas!!! Muda utaongea!!!
Baba tunatukanana tena jamani!! Aya nakupa muda kuna siku utashuudia!!!acheni kumsingizia my AFRICAN PRINCESS mapimbi nyinyi
Hebu tueleze alikuwa anamaanisha nini.
bas niwie radhi si unajua tena nina mahaba kwa african princessBaba tunatukanana tena jamani!! Aya nakupa muda kuna siku utashuudia!!!
Anaweza kwenda kwenye library ya 2pac akapewa vipande vya nyimbo anazotaka kwa makubaliano maalumu then anapeleka studio anaingiza vocal zake wimbo ushakamilika.
Siyo lazima wote wawe hai ilimradi kuna audio za mlengwa!
Shukrani mkuu.Oh sawa nimeelewa.
kuna nyimbo hivi karibuni za 2pac na BIG wanachana mistari mipya sio waliyowahi kurekodi hivi hii inakuwaje?Anaweza kwenda kwenye library ya 2pac akapewa vipande vya nyimbo anazotaka kwa makubaliano maalumu then anapeleka studio anaingiza vocal zake wimbo ushakamilika.
Siyo lazima wote wawe hai ilimradi kuna audio za mlengwa!
Ndo kama hivyo nilivyoeleza hapo juu mkuu, ni matumizi mazuri ya technology kwenye music hata kama watu hawako hai kikubwa maudhui ya nyimbo zao zikiwekwa pamoja viendanekuna nyimbo hivi karibuni za 2pac na BIG wanachana mistari mipya sio waliyowahi kurekodi hivi hii inakuwaje?
Pia 2pac ni moja ya wasanii walio acha kazi nyingi zikiwa hazijatoka, zingine zilitoka baada ya kuwa amefariki.2pac akapewa vipande vya nyimbo anazotaka kwa makubaliano maalumu then anapeleka studio anaingiza vocal zake wimbo ushakamilika.
Siyo lazima wote wawe hai ilimradi kuna audio za mlengwa!