mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Pia 2pac ni moja ya wasanii walio acha kazi nyingi zikiwa hazijatoka, zingine zilitoka baada ya kuwa amefariki.
Mfano hai ni huu aliomshitikisha Krayzie - 2pac ft. Krayzie Bone- Untouchable , Umetoka 2006, (Miaka kumi baada ya kifo cha 2pac)
Shukrani mkuu!