ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Lunya anafanya nini hapo? toa haraka sana weka NgwairHIP HOP
1. NICAS JOHN MACHUCHE (MBISHI)
2 DIZASTA (The story Teller)
3.FID Q
4.ONE THE incredible (UNO)
5.PROFESA JAY
6.YOUNG LUNYA
7.YOUNG KILLER
8.SONGA
9.SOLO
10.STREO (SINGA SINGA)
Wewe ni mwendawqzimu NIKI WA PILI duh fuatilia taarabu tuWakali wa Lyrics
FA/AY
Fid Q
Solothang
Nick II
Wakali wa flow
Ngwea
Langa
Godzillah
Joe Makini
Wakali wa wordplay
Juma nature
Inspt Haroon
G warawara
Wakali wa storytelling
Prof J
Jay More
Wagumu
Unju
The incredible
Sugu
Nash
New genaration
Young lunya
County boy
Billnas
Nacha
Dizasta
Mademu
Rose Ree
Chemical
Groups
Kwanza Unit
Manduli mobb
Nako2Nako
University conner
Wanaume/ east cost
Wewe ni mwendawqzimu NIKI WA PILI duh fuatilia taarabu tu
Ngwea juu ya Profesa?[emoji706]Hahaa nimeweka tu rafiki. Hapo anaanza Ngwea, Prof Jay , Chidi anafatia.
Ee rafiki hayo ni maono yangu, na wewe weka yako.Ngwea juu ya Profesa?[emoji706]
List ya wavuta bange wa Tamaduni sijuiInasikitisha sana Hii List ya Mtoa UZI.
Mie yangu ni hii
1- Nikki Mbishi
2-P Mawenge
3- Dizasta (Jesusta )
4-Songa
5-Maalim Nash
6-Fid Q
7-Kala Jeremiah
8-Mangweir
9-Godzilla
10-Zaiid
Hivi Vichwa navikubali List ni Ndefu nina wasanii kama 20 hivi ila wacha niweke hao..
Ana nyimbo ngapi, au ndo wewe?Mnaachaje kumtaja hashim dogo
Aise....nyie wageni wq hiphop bongo
Nini
Ova
Afande,solo,,,Joh makini...juu ya Ngwair...[emoji2][emoji2][emoji2]SUGU huyu ni special, sitaki kumkosea heshima kumuweka kwenye list
1.Profesa Jay
2. Fid Q
3. Jay Mo
4. Solo Thang
5. Mwana Fa
6. Afande Sele
7. Joh Makini
8. Ngwea
9.Chid Benz
10. ROMA
BONUS: Nikki Mbishi
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Wakali wa Lyrics
FA/AY
Fid Q
Solothang
Nick II
Wakali wa flow
Ngwea
Langa
Godzillah
Joe Makini
Wakali wa wordplay
Juma nature
Inspt Haroon
G warawara
Wakali wa storytelling
Prof J
Jay More
Wagumu
Unju
The incredible
Sugu
Nash
New genaration
Young lunya
County boy
Billnas
Nacha
Dizasta
Mademu
Rose Ree
Chemical
Groups
Kwanza Unit
Manduli mobb
Nako2Nako
University conner
Wanaume/ east cost
Sina hakika kama wako juu ya Ngwea ila atleast ni lazima wawe kwenye top 10 yangu, ila nawewe umenishangaza kumuweka Ngwea juu ya Profesa Jay, ni utovu wa nidhamu [emoji2]Afande,solo,,,Joh makini...juu ya Ngwair...[emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]J wa mituringa...Sina hakika kama wako juu ya Ngwea ila atleast ni lazima wawe kwenye top 10 yangu, ila nawewe umenishangaza kumuweka Ngwea juu ya Profesa Jay, ni utovu wa nidhamu [emoji2]
one the incredibleInasikitisha sana Hii List ya Mtoa UZI.
Mie yangu ni hii
1- Nikki Mbishi
2-P Mawenge
3- Dizasta (Jesusta )
4-Songa
5-Maalim Nash
6-Fid Q
7-Kala Jeremiah
8-Mangweir
9-Godzilla
10-Zaiid
Hivi Vichwa navikubali List ni Ndefu nina wasanii kama 20 hivi ila wacha niweke hao..
Huyo jamaa namba moja akifatiwa na wapili sijaona bado wa kuwalinganisha nao ,Kila kizazi kina bahati yake kama ninavyojivunia kumuona Gaucho,Messi na Ronaldo kwenye mpira ndivyo najivunia pia kumsikiliza Afande Sele na Prof Jay kwenye muziki wa bongo.1. Afande sele
2. Prof Jay
3.Chid benz
4. Roma
5. Stamina
6. Ngwaire
7. FidQ
8. Joh Makin
9. Jay mo
10 Solo Thung
1. Albert Mangwair
2. Profesa J
3. Jay Mo
4. Juma Nature
5. Mwana FA
6. Afande Sele
7. Fid Q
8. Joh Makini
9. Chid Benz
10. Solo Thang
Saigon Je?Wasanii wangu 10 bora wa Hip Hop wa muda wote;
1. Albert Mangwair
2. Profesa J
3. Jay Mo
4. Juma Nature
5. Mwana FA
6. Afande Sele
7. Fid Q
8. Joh Makini
9. Chid Benz
10. Solo Thang
Nimezingatia Mashairi, mtiririko, album. n.k.
NB. Namuheshimu Sugu ni mmoja ya waasisi wa Hip Hop ila uchanaji wake kwangu haujawahi kunivutia, najua anazo album zaidi ya 10.
Unahisi nani hastahili kuwa kwenye hiyo orodha kwa mtazamo wako, na akitoka aingie nani?
#forgive Me.
Mabaga Fresh vipMabovu sikuoni kokote duh
Mtaje weweHamna mlipomtaja D Knob??