Wasanii wangu 10 bora wa Hip Hop wa muda wote

Wasanii wangu 10 bora wa Hip Hop wa muda wote

HIP HOP
1. NICAS JOHN MACHUCHE (MBISHI)
2 DIZASTA (The story Teller)
3.FID Q
4.ONE THE incredible (UNO)
5.PROFESA JAY
6.YOUNG LUNYA
7.YOUNG KILLER
8.SONGA
9.SOLO
10.STREO (SINGA SINGA)
Lunya anafanya nini hapo? toa haraka sana weka Ngwair
 
Wakali wa Lyrics
FA/AY
Fid Q
Solothang
Nick II

Wakali wa flow
Ngwea
Langa
Godzillah
Joe Makini

Wakali wa wordplay
Juma nature
Inspt Haroon
G warawara


Wakali wa storytelling
Prof J
Jay More

Wagumu
Unju
The incredible
Sugu
Nash

New genaration
Young lunya
County boy
Billnas
Nacha
Dizasta

Mademu
Rose Ree
Chemical

Groups
Kwanza Unit
Manduli mobb
Nako2Nako
University conner
Wanaume/ east cost
Wewe ni mwendawqzimu NIKI WA PILI duh fuatilia taarabu tu
 
Wewe ni mwendawqzimu NIKI WA PILI duh fuatilia taarabu tu

Unaweza kujadili bila kutumia lugha ya MAUDHI?

Unajua maana ya lyrics....... tuanzie hapo kwanza
 
SUGU huyu ni special, sitaki kumkosea heshima kumuweka kwenye list

1.Profesa Jay
2. Fid Q
3. Jay Mo
4. Solo Thang
5. Mwana Fa
6. Afande Sele
7. Joh Makini
8. Ngwea
9.Chid Benz
10. ROMA

BONUS: Nikki Mbishi
 
Inasikitisha sana Hii List ya Mtoa UZI.

Mie yangu ni hii

1- Nikki Mbishi
2-P Mawenge
3- Dizasta (Jesusta )
4-Songa
5-Maalim Nash
6-Fid Q
7-Kala Jeremiah
8-Mangweir
9-Godzilla
10-Zaiid

Hivi Vichwa navikubali List ni Ndefu nina wasanii kama 20 hivi ila wacha niweke hao..
List ya wavuta bange wa Tamaduni sijui
 
SUGU huyu ni special, sitaki kumkosea heshima kumuweka kwenye list

1.Profesa Jay
2. Fid Q
3. Jay Mo
4. Solo Thang
5. Mwana Fa
6. Afande Sele
7. Joh Makini
8. Ngwea
9.Chid Benz
10. ROMA

BONUS: Nikki Mbishi
Afande,solo,,,Joh makini...juu ya Ngwair...[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wakali wa Lyrics
FA/AY
Fid Q
Solothang
Nick II

Wakali wa flow
Ngwea
Langa
Godzillah
Joe Makini

Wakali wa wordplay
Juma nature
Inspt Haroon
G warawara


Wakali wa storytelling
Prof J
Jay More

Wagumu
Unju
The incredible
Sugu
Nash

New genaration
Young lunya
County boy
Billnas
Nacha
Dizasta

Mademu
Rose Ree
Chemical

Groups
Kwanza Unit
Manduli mobb
Nako2Nako
University conner
Wanaume/ east cost
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
1. Afande sele
2. Prof Jay
3.Chid benz
4. Roma
5. Stamina
6. Ngwaire
7. FidQ
8. Joh Makin
9. Jay mo
10 Solo Thung
 
Sina hakika kama wako juu ya Ngwea ila atleast ni lazima wawe kwenye top 10 yangu, ila nawewe umenishangaza kumuweka Ngwea juu ya Profesa Jay, ni utovu wa nidhamu [emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]J wa mituringa...
 
1. Afande sele
2. Prof Jay
3.Chid benz
4. Roma
5. Stamina
6. Ngwaire
7. FidQ
8. Joh Makin
9. Jay mo
10 Solo Thung
Huyo jamaa namba moja akifatiwa na wapili sijaona bado wa kuwalinganisha nao ,Kila kizazi kina bahati yake kama ninavyojivunia kumuona Gaucho,Messi na Ronaldo kwenye mpira ndivyo najivunia pia kumsikiliza Afande Sele na Prof Jay kwenye muziki wa bongo.
 
Wasanii wangu 10 bora wa Hip Hop wa muda wote;

1. Albert Mangwair
2. Profesa J
3. Jay Mo
4. Juma Nature
5. Mwana FA
6. Afande Sele
7. Fid Q
8. Joh Makini
9. Chid Benz
10. Solo Thang

Nimezingatia Mashairi, mtiririko, album. n.k.

NB. Namuheshimu Sugu ni mmoja ya waasisi wa Hip Hop ila uchanaji wake kwangu haujawahi kunivutia, najua anazo album zaidi ya 10.

Unahisi nani hastahili kuwa kwenye hiyo orodha kwa mtazamo wako, na akitoka aingie nani?


#forgive Me.
Saigon Je?
IMG-20230827-WA0035.jpg
 
Back
Top Bottom