Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini umewaza na kutueleza hivyo?Na kwa nini fungu litengwe kwa ajili yao na wasioneshe uzalendo kwa kufanya kazi for free?Fungu litengwe Kwa ajili ya wasanii kutumbuiza mikutano ya kampeni Uchaguzi wa Serikalin za mitaa. Muhimu sana.
Hili kundi limekua bega Kwa bega na Chama wakati wote hivyo watengewe fungi maalum kama shukrani.Kwa nini umewaza na kutueleza hivyo?Na kwa nini fungu litengwe kwa ajili yao na wasioneshe uzalendo kwa kufanya kazi for free?
Hahahah, ipo siku watakayoadhibiwa kwa kuambatana na madhalimuHili kundi limekua bega Kwa bega na Chama wakati wote hivyo watengewe fungi maalum kama shukrani
Chama kipi?Kwa hiyo unataka watengewe ruzuku?🤔Hili kundi limekua bega Kwa bega na Chama wakati wote hivyo watengewe fungi maalum kama shukrani
Wewe Mlugaluga ni nani aliyekuloga?Fungu litengwe Kwa ajili ya wasanii kutumbuiza mikutano ya kampeni Uchaguzi wa Serikalin za mitaa. Muhimu sana.
Siye twamuachia Mola yakheeWatanganyika hamna huo ubavu
hakuna haja,Fungu litengwe Kwa ajili ya wasanii kutumbuiza mikutano ya kampeni Uchaguzi wa Serikalin za mitaa. Muhimu sana.
Fungu litengwe Kwa ajili ya wasanii kutumbuiza mikutano ya kampeni Uchaguzi wa Serikalin za mitaa. Muhimu sana.
Noma sana!Hahahah, ipo siku watakayoadhibiwa kwa kuambatana na madhalimu