Wasanii wazuri kwenye "the art of story telling" kibongo bongo

Yaani best story telling song iwe Usiniseme kama napenda kula mayai? Kweli?? Are you kidding or something??..Kwa hiyo wakati Niga jay anatoa chemsha bongo na zali la mentali wewe ulikua hujazaliwa au hujaja mjini? ..
Hawa vijana wameletwa na kina Diamond labda tumuongeezee na hizi za Prof. Jay

Bongo Dar es salaam

Msinitenge

promota anabipu

Ndio mzee

kikao cha dharula

Nang"atuka

Nikusaidieje


Inaniuma sana- Sir Nature

Dingi-Mandojo&Domokaya

Sister sister-King Crazy GK

Kibanda cha simu-Soggy doggy

Ametoroka-K-Basil

Mkasa wa boss-Daz nundaz

Barua-Daz nundaz
 
siku hizi wamebase kweny midundo na video
 
Mleta mada kasema ongezea na wewe msanii wako lakini wengi badala ya kuongezea wameanza kumshambulia yeye sasa sijui amekosea wapi

Kwa mimi kwa wasanii waliobaki story teller ninae muona ni "Best Naso" huyu mchizi wa Mara kila ngoma yake ni story
Eg.Mamu wa dar
 
Ahsante mkuu ma-great thinker Wa humu ni vituko
 
Peace Amorre - Mermaid Tayana.
Link :
 
kisa cha boss + barua > Daz nundaz
salome > Dully
siri yangu > lady j dee
zari la mentali > prof jay
starehe > Ferooz
Rita > Marlow
sitaki demu + mzee wa busara> Juma nature
kafia gheto > H machozi
kibanda cha simu > Soggy dog
gheto + mikasi + she got 1 > Ngwea
sauti ya manka > Crazy G K
mume wa mtu > Dataz + Joah
swahiba > Jebby
Mpenzi jini > Z Anto
hakuonekana na binti > FA
Barua > Bushoke
Hatuonani > Banana
ayeee wengi, sema cku hizi tunazikosa
sana za hivi
 
Ila bongo fleva za zaman tamu mazee tuache utani
Mi ndo naisikilizaga kwa kiasi kikubwa,za siku hizi zinanishinda.mipasho tu na mapenzi........zamani Mikasa,mapito ya kina q chief na afande sele,vituko vya uswahilini tulivipata kupitia ata nyimbo,siasa zilizungumzwa huru,za kutendwa,banger za kufa mtu.yaaaan ilikua wewe tu una vibe lipi
 
umetisha
 
DIAMOND PLATINUMZ BABA LAO
1.UKIMWONA.
2.MBAGALA.
3.GONGO LAMBOTO.
4.BINADAMU.
5.MOYO WANGU.
6.KIZAIZAI.
7.MDOGOMDOGO.
8.NATAKA KULEWA.
9.JE UTANIPENDA..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…