Wasanii wazuri kwenye "the art of story telling" kibongo bongo

Kuna mwamba anaitwa p the mc Ana nyimbo zake Kama unajipya afande msela natokea uswazi upande wa pili wa sarafu mama mjane n.k kwangu huyu ndio best sikikiza hizo nyimbo utakubaliana na mimi
 
Khadija , Ediga nk
 
Samahani natoka nje ya maada..
Kuna balaa jamaa wa nchi jirani
Mnyama Khaligraph jones the OG ametoa juzi kati inaitwa RUBY.. hii kitu ni next level yaani flows na story inavyoenda unahisi kama unasoma kitabu cha story.. na kuna ngoma inaitwa Boni ni hatari sana..

Yani huyu jamaa Kenya tunaweza kuwapa Palamagamba Kabudi ,Harmonize na polepole wako wakatupa Papa Jones tu inatosha..
 
Yuko na Daz baba dizaini wife kampa kadi ya mwaliko wa harusi(Barua)
Hapana, ile anaimba alifungua kibanda cha mchicha sijui mgambi wakamkamata akaenda jela . mkewe huku nyuma katika kuhangaika siku mmoja anarudi usiku akabakwa
 
Hapana, ile anaimba alifungua kibanda cha mchicha sijui mgambi wakamkamata akaenda jela . mkewe huku nyuma katika kuhangaika siku mmoja anarudi usiku akabakwa
Daaaah sijaifahamu, ferooz alikua anajua kutuliza
 
Hapana, ile anaimba alifungua kibanda cha mchicha sijui mgambi wakamkamata akaenda jela . mkewe huku nyuma katika kuhangaika siku mmoja anarudi usiku akabakwa
Huyu sio Best Nasso kweli mkuu?
 
Nash Mc mitihani, One the incredible mtanga njia,


Diamond platnumz baba lao
 
Nash Mc mitihani, One the incredible mtanga njia,


Diamond platnumz baba lao
 
Songa toka TAMADUNI Muzik, ngoma zake utaelewa japo beats zake hautazipenda nazo ni;usiku,picha,sorry, bekitatu,enzi za utoto,bifu,tunahitaji mabadiliko,yule jamaa...yan huyu jamaa anazo nyingi hebu mfuatilieni afu anachana kwa kiswahili safi na kila neno unaliskia sema ngoma yake moja hivi inaitwa Hisia za moyoni kila utakempa aisikilze hii ngoma ataipenda kwasabu beat limetulia ukiskilizia kwa spika kubwa kiitikio kinakupa hamu ya kumsikilza mchanaji anakuja na verse gani tena yani vina na mizani vimepangiliwa kimapokeo japo video yake haitakuvutia ila ujumbe uliomo humo utasema kwanini hawasikilizwi sana kwenye media???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…