Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,224
- 2,337
Hivi jaymoe mbna aliacha mziki, huyu jamaa yupo poa sanaBila kumtaja Jay Moe mnafeli.
Maisha ya Bording.
Bishoo.
Story 3.
Barua ni bonge la songHuo wimbo asee acheni watu wanajua kutunga nyie
unasikiliza nyimbo kama unaskiliza hadithi flani hivi
Mleta mada kasema ongezea na wewe msanii wako lakini wengi badala ya kuongezea wameanza kumshambulia yeye sasa sijui amekosea wapi
Kwa mimi kwa wasanii waliobaki story teller ninae muona ni "Best Naso" huyu mchizi wa Mara kila ngoma yake ni story
Eg.Mamu wa dar
Hili tatizo lipo sana kwa wachangiaji wengi hapa Jf wanashindwa kumuelewa mleta mada na kuchangia kulingana na mada kitu ambacho ni tofauti kabisa na dhana ya "home of great thinker"Ahsante mkuu ma-great thinker Wa humu ni vituko
Hapana, ile anaimba alifungua kibanda cha mchicha sijui mgambi wakamkamata akaenda jela . mkewe huku nyuma katika kuhangaika siku mmoja anarudi usiku akabakwaYuko na Daz baba dizaini wife kampa kadi ya mwaliko wa harusi(Barua)
Daaaah sijaifahamu, ferooz alikua anajua kutulizaHapana, ile anaimba alifungua kibanda cha mchicha sijui mgambi wakamkamata akaenda jela . mkewe huku nyuma katika kuhangaika siku mmoja anarudi usiku akabakwa
Huyu sio Best Nasso kweli mkuu?Hapana, ile anaimba alifungua kibanda cha mchicha sijui mgambi wakamkamata akaenda jela . mkewe huku nyuma katika kuhangaika siku mmoja anarudi usiku akabakwa