Tetesi: Wasanii wengi kumfuata Wema Sepetu, CHADEMA kuweni makini

Msiwaamini sana hawa wasanii..
Wanajali zaidi matumbo yao..
Hata wema uchaguzi ujao hautafanyika akiwa Chadema.. Mtaifufua hii post!
Wako huru kuhama, kwenda kokote, vyovyote. Tatizo ni nini? Nawe uko huru hivyohivyo. Kama wako wasita kuutumia, hilo lako?
 
Mmh, me nashangaa sana mnavoshupalia swala la wema kuhama ccm, wamihama wangap waliokuwa mpaka na vyeo vyao ccm na ccm bado iko ngangar mpaka leo! Itakuwa wema ambae hajawah kuwa hata mjumbe wa nyumba kum? Kaamuulizen kingunge atawaambia
Hayo maneno hata mwandoshya alivyopigwa uwembe dom, aliyaongea , kwa hiyo si mageni masikioni mwetu.
 
Wako huru kuhama, kwenda kokote, vyovyote. Tatizo ni nini? Nawe uko huru hivyohivyo. Kama wako wasita kuutumia, hilo lako?
Huwa sipendezwi sana na watu wanaoniquote bila kujua "mantiki" ya kile nilichoandika na wao kujiandikia vitu vingine tofauti kabisa!
 
Hivi ni msaanii gani atahama ssm aumize kichwa mtu sasa hivi?? Steve nyerere au nani hawa huwa wanatumiwa na kutupwa kama CONDOM hamna msanii mwenye powerful mind nchii..
 
Mbowe wakati wa kumpokea lowasa alisema lowasa ataleta wanachama wapya Chadema milioni 2 toka CCM walishakuja?
 
Ccm bana wanajifanya hawajari Wema kukihama chama chao wakati comments zao zimejaa panic
 
Mbowe wakati wa kumpokea lowasa alisema lowasa ataleta wanachama wapya Chadema milioni 2 toka CCM walishakuja?
Mbowe mpiga dili tu......kwa edo alilamba mpunga mrefu, kwa wema papuchi itahusika!
 
Ukitaka kujua wema hapendwi hata na wasanii wenzio wa bongo movie fuatilia taarifa za msiba wa baba yake..hata huyo kajala aliyempa kampani enzi za msiba sasa ni chui na paka..huyo amempata mama ake tu basi..
 
Hivi CDM ndio limekuwa chaka la wachumia tumbo, wabwia unga na wauza sembe?I don't think they are so blind.Wananchi sio vipofu na wajinga wanaona.Labda kama they don't dream of going to Magogoni.
 
Hivi CDM ndio limekuwa chaka la wachumia tumbo, wabwia unga na wauza sembe?I don't think they are so blind.Wananchi sio vipofu na wajinga wanaona.Labda kama they don't dream of going to Magogoni.
Yaani kabinti kadogo kanawatoa povu hivi?kweli mmeishiwa,na jinsi jamaa hana mvuto kwa watu 2020 kazi mnayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…