Tetesi: Wasanii wengi kumfuata Wema Sepetu, CHADEMA kuweni makini

Tetesi: Wasanii wengi kumfuata Wema Sepetu, CHADEMA kuweni makini

Hawana dira si vibaya kama wangeimarisha tasnia zao badala ya kuingia kwenye mchezo huu wa si asa wata lost mara mbili.
 
Kwa MTU mwenye busara ni kuweka mzani na kupima muenendo wa vyama vya upinzani na uangalie trend yake. Vimewrka agenda ya Ku attack Serikali kama ndio kipaumbele chso. Hakuna program ya kuviendeleza vyama hivi, kuimarisha Mikoa na Wilaya na kuunda matawi mengi ya vyama hivi kwenye ngazi ya chini.
Wamejaribu kuunda UKAWA ambao ungeunganisha juhudi zao za mapambano , wrote ni mashahidi Ukawa umekuwa Ukata. Mheshimiwa Mbatia aliekuwa msemaji mkuu wao kafifia kabisa. CUF walio kuwa ndio Patna wa Karinu kabisa na Chadema nao, wamesambaratika. Na kwenye uchaguzi ulio pita wa udiwani hakukuwa na umoja, kila chama kilisimama peke Yake na kuifanya CCM ipate land slide victory. Kwa matukio haya tunauangalia Upinzani wa kweli has a upo? Au ni kuvizia kesi kujitegeza washikwe ionekane kama ni upiganiaji wa Uhuru na demokrasia? Baadhi ya watu wameiita Mandela style. Juhudi za Mandela zilikuwa kuondoa ubaguzi wa Rangi na kuleta Uhuru wa kweli South Africa. Tofauti na mbinu za upinzani nchini.
Sasa kama vyama hivi vimeshindwa kuungana kisawasawa, vimeshindwa kujiimarisha vyenyewe tunauna NCCR chalk, CUF tia maji tia maji, Chadema Baada ya kuondoka mpiganji wa kweli Dr Slaa nayo muda mwingi IPO kwenye kesi, unajiuliza hivi kweli ni sahihi kujitumbukiza kwe jahazi linalo elekea kuzama? Tuache ushabiki kwakweli vyama hivi vya upinzani viliendelea kujiendesha kama vinavyo Fanya sasa, itwachukua muds mrefu kuitoa CCM madarakani. Rudini kambini mjipange upya!
 
Wamejitambua ila wewe bado hujajua nini kinakuweka huko

mkuu unataka ubishi ama unaongea kwa kufata mapenzi na mahaba yako juu ya chama.

unajua hata hatua za kujitambua zinavyo kuwa. yaani kama wewe unajihesabu miungoni mwa waliojitambua tuna safari ndefu

kifupi wewe ni bendera fata upepo kama hao
 
Ina maana vyama vingine hawavioni?si lazima waje cdm mana hawa wanapelekwaga na upepo tu kama bendera 2019 utawaona haooooo wamerudia tena matapishi yao
 
alie weka thamani sawa ya kura kwa watanzania alikosea sana.

haiwezekani bendera fata upepo, mtu asiye na uwezo wa kufikiria kura yake kuwa na thamani sawa na anayefikiria.

hao wasanii ni bendera fata upepo (kama ni kweli) maana hawajui nini kinawapeleka huko zaidi ya kumfata wema
Haswaaaaaa
 
Kwa MTU mwenye busara ni kuweka mzani na kupima muenendo wa vyama vya upinzani na uangalie trend yake. Vimewrka agenda ya Ku attack Serikali kama ndio kipaumbele chso. Hakuna program ya kuviendeleza vyama hivi, kuimarisha Mikoa na Wilaya na kuunda matawi mengi ya vyama hivi kwenye ngazi ya chini.
Wamejaribu kuunda UKAWA ambao ungeunganisha juhudi zao za mapambano , wrote ni mashahidi Ukawa umekuwa Ukata. Mheshimiwa Mbatia aliekuwa msemaji mkuu wao kafifia kabisa. CUF walio kuwa ndio Patna wa Karinu kabisa na Chadema nao, wamesambaratika. Na kwenye uchaguzi ulio pita wa udiwani hakukuwa na umoja, kila chama kilisimama peke Yake na kuifanya CCM ipate land slide victory. Kwa matukio haya tunauangalia Upinzani wa kweli has a upo? Au ni kuvizia kesi kujitegeza washikwe ionekane kama ni upiganiaji wa Uhuru na demokrasia? Baadhi ya watu wameiita Mandela style. Juhudi za Mandela zilikuwa kuondoa ubaguzi wa Rangi na kuleta Uhuru wa kweli South Africa. Tofauti na mbinu za upinzani nchini.
Sasa kama vyama hivi vimeshindwa kuungana kisawasawa, vimeshindwa kujiimarisha vyenyewe tunauna NCCR chalk, CUF tia maji tia maji, Chadema Baada ya kuondoka mpiganji wa kweli Dr Slaa nayo muda mwingi IPO kwenye kesi, unajiuliza hivi kweli ni sahihi kujitumbukiza kwe jahazi linalo elekea kuzama? Tuache ushabiki kwakweli vyama hivi vya upinzani viliendelea kujiendesha kama vinavyo Fanya sasa, itwachukua muds mrefu kuitoa CCM madarakani. Rudini kambini mjipange upya!
Umeandika ndefu lakini pumba tupu ! Hivi kwa namna polisi wanavyotumikishwa kukamata wapinzani unataka tufanyeje ?

Serikali ambayo inavunja katiba na kula hela za wahanga , pamoja na kushindwa uongozi unataka tuichekee ili iweje ?
 
Tatizo la maccm ni kutumia watu kama condom kisha kuwatupa kwenye dustbin..
Ni watu wasio na shukrani,wamejaa kiburi,ulevi wa madaraka,ulafi uliokubuhu,na wadhulumati wakubwa sana,kama kuna ;msanii atakubali kutumiwa tena na hii mijitu she/he/it is an idiot
 
Kuhamia chama chochote ni haki ya kila mtu. Kuweni makini kuwatumia watu kama hawa ndani ya chama musije mkalia wakati wa kampeni.
 
Sema wakinga wengi kumfuata Wema, kama unajitambua huwezi kufuata ujinga!!!
 
Vyama vingine ni sawa kabisa na MAGENGE YA WAHUNI.
 
Kuondoka kwake hakupunguzi wala kuongeza chochote.
 
Back
Top Bottom