Wasanii wengi wa Kinondoni na Ilala haka kamchezo kwanini kamewanogea sana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwanini Wasanii wengi ( japo siyo wote ) hasa wa Nyimbo / Waimbaji ( wa Bongo Fleva ) wanaotoka maeneo ya Kinondoni na Ilala haka ' Kamchezo ' kabaya kanakochezwa na ' Wanaume ' tupu katika mahala pa ' maficho ' wanakapenda sana kuliko Wasanii wenzao karibia wote wanaotokea Temeke?

Kuna Shetani gani anatawala sana pande za Kinondoni na Ilala hadi Vijana wetu nao wameamua sasa kuchukua ' majukumu ' ya Kipekee ambayo kimsingi yameandaliwa tu kwa ' Jinsia ' nyingine tofauti kabisa na waliyonayo Wao?

Nawasilisha.
 
Bado sielewi hizi research nanj huwa anazifanya na wapi zinafanyika maana kila kukicha watu watu wanakuja na conclusion
 
Mkuu hujawahi kuniangusha katika kila Uzi unaowekaga humu jukwaa la great thinkers jf! Na ninaamini Mpaka umeleta thread hii basi ipo namna ambayo umechukizwa nayo na hata jamii inayokuzunguka haipendi ila hawana pakutolea sauti, najua na ninashawishika kuwa hata kwa sura zao unawajua basi ingekuwa vyema ukataja na majina yao ili tuepushe watoto wetu na ikibidi tuwatafutie kazi Zingine kama sio kuwapiga marufuku wao kujihusisha na muziki
 
Wanapenda maisha mazuri na pesa za hataka bila kuungua jua wala kutoka jasho na viwanja vingi vya starehe Viko huko kuanzia clubs hotels na mengineyo kwahiyo madon na wala bata wote watokea na kuishi pande hizo kwa wingi tofauti na temeke
 
Ushahidi wako ni wakuona, kuambiwa, kushiriki au kushirikishwa?
Kama ni wa kuona tupia kapicha au angalau sema uliwaona kina nani wakifanya nini!
Kama ni wa kuambiwa aliyekuambia mwambie akamwambie afande mambosasa au siiro!
Kama ulishiriki eleza kipengele cha ushiriki wako kama muhusika.
Kama ulishirikishwa basi tutajie aliyekushawishi ukashirikishwaje na kisha baada ya tukio ulijisikiaje!?

Nini ushauri wako kwa jamii.
 
Bado sielewi hizi research nanj huwa anazifanya na wapi zinafanyika maana kila kukicha watu watu wanakuja na conclusion

Hata mie nimeona mamiss tu hata sjui ni vigezo gani vimetumika kuwapata.

Ni hatari sana.
 
"wanaume" "eeenh au umesahau kauli mbiu yetu kiumen...uku tunakaa wanaume.....mmepewa akili akubwa lakin mnaliwa ndogo....dah....katika vijana 10 wa kino wa5 hawana marinda....ihiiiiiiiiiii
We jamaa inabidi ufungwe haiwezekani hiyo ratio. Tena ile kesi ya zitto upewe wewe [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
Wakazi wa temeke wana IQ ndogo kuliko wilaya zote za dar!


Mkoa wa Dar es salaam, vuguvugu la vyama vingi lilitokea Temeke. Kama hiyo hutaki, miaka 21 iliyopita, wakazi wa Temeke walichagua mbunge kutoka chama cha upinzani kipindi hiyo huko kwenu bado wanavaa magwanda ya kijani mnaimba vyama vingi vitaleta vita.
 
"wanaume" "eeenh au umesahau kauli mbiu yetu kiumen...uku tunakaa wanaume.....mmepewa akili akubwa lakin mnaliwa ndogo....dah....katika vijana 10 wa kino wa5 hawana marinda....ihiiiiiiiiiii
Kweli mkuu na hawa ndo wanaotuaibisha humu ndani tunaonekana wanaume wa Dar wasenge.

Mashoga ya wilaya hizo utayajua tu maana Hata uandishi wao wa sms unajulikana...mf

jomoniii,
oh my......
Waoooooo......

Na mauzo ya chips mayai yanaongoza wilaya hizo na vijana wengi ni wabana pua.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…