Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Ndo maana napendaga wanawake wa kiarabu,yaani nyie wa kiswahili pua kama ngumiHaahahahah jamanii Kiba ana sura ngumu?acha utani bana sema Watz wengi pua zetu ni shidaa kama ngumi
Yule mshakji ana sura ngumu sana yuko hovyo kama aliwahi kuugua utapia mloHaahahahah jamanii Kiba ana sura ngumu?acha utani bana sema Watz wengi pua zetu ni shidaa kama ngumi
Ahahahahah mi pua yangu ndefu kiasi sio kama ngumi,we yako ipojee JooNdo maana napendaga wanawake wa kiarabu,yaani nyie wa kiswahili pua kama ngumi
Mshikaji yupiYule mshakji ana sura ngumu sana yuko hovyo kama aliwahi kuugua utapia mlo
Njoo pm nkutumie picha yanguAhahahahah mi pua yangu ndefu kiasi sio kama ngumi,we yako ipojee Joo
Aisee pole yao kwa walionekanaJana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli walionekana kuwa na sura ngumu sana tofauti na tunavyowaonaga kwenye videos zao.
Mfano Alikwiba, alionekana ana sura ngumu kuliko hata Remi Ongala.
Duh! Nimeshangaa sana. Kumbe wasanii hawana u HB wowote. Make ups tu ndio zinawabeba kwa sana.
Aisee pole yao kwa walionekana wanasura zao za asiliJana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli walionekana kuwa na sura ngumu sana tofauti na tunavyowaonaga kwenye videos zao.
Mfano Alikwiba, alionekana ana sura ngumu kuliko hata Remi Ongala.
Duh! Nimeshangaa sana. Kumbe wasanii hawana u HB wowote. Make ups tu ndio zinawabeba kwa sana.
Usiwaige hao ndio maana wanaitwa wasanii,kila kitu chao ni usanii mtupu...Jana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli walionekana kuwa na sura ngumu sana tofauti na tunavyowaonaga kwenye videos zao.
Mfano Alikwiba, alionekana ana sura ngumu kuliko hata Remi Ongala.
Duh! Nimeshangaa sana. Kumbe wasanii hawana u HB wowote. Make ups tu ndio zinawabeba kwa sana.
Camera effects baba, amna mtu mbaya instagram huko. Kila mtu anaonekana asali ya warembo. Picha linaanza ukutane nae live bila chenga ndani jua la utosi la bongoJana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli walionekana kuwa na sura ngumu sana tofauti na tunavyowaonaga kwenye videos zao.
Mfano Alikwiba, alionekana ana sura ngumu kuliko hata Remi Ongala.
Duh! Nimeshangaa sana. Kumbe wasanii hawana u HB wowote. Make ups tu ndio zinawabeba kwa sana.
Private Message (PM)Joowzey pengine wewe utanisaidia, wengi nimewauliza hawanijibu hilo neno humu if nalo ni "PM"hata wewe umelitumia!
Nakuja JooNjoo pm nkutumie picha yangu