Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Kila mtu ameumbiwa kifo..lakini sometime nahisi hawa wasanii mambo wanaimbaga yanafanyika/wanayafanya kweli ndio maana mwisho wao hua mbaya..yaani wanaugua kidogo tu chalii...au wengine unaamka asubuh unasikia tu mara ajali,mara wamechomana visu yaani dah.nina mifano michache
1:Langa=bomboclat,matawi ya juu,pipi ya kijiti
2:ngwear=mikasi,geto langu,cnn,zawadi
3.cpwaa=six in the morning,mmh mmh,action,pwaa
4=sharo milionea_ile style yake ya kuigiza maisha kistarehe,pamba kali nini..
5....John walker-bitoz na ile stail yale muda wote yuko tungi..
6. Jebi=wanapagawa,tunadatisha
7. Yp_pumzika pale inapobidi
8.kanumba_kuna movie zake nyingi majina nimesahau kapromote anasa pombe na mademu kwa sana
1:Langa=bomboclat,matawi ya juu,pipi ya kijiti
2:ngwear=mikasi,geto langu,cnn,zawadi
3.cpwaa=six in the morning,mmh mmh,action,pwaa
4=sharo milionea_ile style yake ya kuigiza maisha kistarehe,pamba kali nini..
5....John walker-bitoz na ile stail yale muda wote yuko tungi..
6. Jebi=wanapagawa,tunadatisha
7. Yp_pumzika pale inapobidi
8.kanumba_kuna movie zake nyingi majina nimesahau kapromote anasa pombe na mademu kwa sana