Wasanii wenye majina makubwa lakini wanalazimisha mziki hali ya kuwa mziki ushawakataa

Wasanii wenye majina makubwa lakini wanalazimisha mziki hali ya kuwa mziki ushawakataa

Hivi mtu akipigwa ban hapo kwny avatar yake ndio inaandikw ban kama hvyo hapo kw hance au ameweka mwenyew?
Na je unakua unasoma tu lakn hauchangii mada ee au inakuaje
Mm n kati y wale watu ambao wakat w regstration kila kitu tunatik ok hatusomii lol
Yaan hapo account yake haifanyii kaz kabsa, labda awe kama visitor tuu.
Hiyo ya kuandkwa banned si yeye ila wewe ndo unapewa taarifa kuwa huyu ndugu yako kawekwa jela ya jf
 
Na wewe upo category gani au mzee wa povu tu--
 
Hivi mtu akipigwa ban hapo kwny avatar yake ndio inaandikw ban kama hvyo hapo kw hance au ameweka mwenyew?
Na je unakua unasoma tu lakn hauchangii mada ee au inakuaje
Mm n kati y wale watu ambao wakat w regstration kila kitu tunatik ok hatusomii lol
Ndio
 
@ hance mtanashati, huwa nakuelewa Lakini hapa kwa alikiba Umezingua kinomanoma! Hatimaye nimegundua kuwa nia yako siyo kumshauri alikiba, Bali ni kumshusha, yes,am his fan, hajafika kwenye level ya kusema Eti mziki umemkataa, ni upuuzi upuuzi tuu,
Ungeanzisha uzi mwingine wa kumshauri, au ungeunganisha na uzi wa jana na siyo kuja kumweka kwenye list ya watu waliokataliwa na mziki
Alikiba ni msanii anaeweza kukaa miaka hata mitatu bila kutoa wimbo na akaendelea kuhit!,
Acha figisu.
 
@ hance mtanashati, huwa nakuelewa Lakini hapa kwa alikiba Umezingua kinomanoma! Hatimaye nimegundua kuwa nia yako siyo kumshauri alikiba, Bali ni kumshusha, yes,am his fan, hajafika kwenye level ya kusema Eti mziki umemkataa, ni upuuzi upuuzi tuu,
Ungeanzisha uzi mwingine wa kumshauri, au ungeunganisha na uzi wa jana na siyo kuja kumweka kwenye list ya watu waliokataliwa na mziki
Alikiba ni msanii anaeweza kukaa miaka hata mitatu bila kutoa wimbo na akaendelea kuhit!,
Acha figisu.
Soma maelezo ya mdau vizuri kuusu kiba me naona ajamponda wala nini kasema kiba anajua kuimba ira abadiri vitu vichache
 
juma nature mimi hata zamani nilikua simuelewi, zaidi ya maziki wake mmoja tu, hakuna kulala[emoji7]..

miziki ya zamani iliyotamba bila maana yoyote sijui ndo waliimba hawa NGANGARI..[emoji23][emoji23][emoji23]
estelina hana juhudi!
snura ana juhudi za kibongo bongo..
wengine wafanye mengine mziki umewapita...
 
Wafuatao ni wanamuziki wanaolazimisha fani hali ya kuwa uwezo wao mdogo/umepungua kwa kiasi kikubwa

1: Juma Kasimu kiroboto a.k.a Nature
Huyu jamaa nyimbo zake anazozitoa siku hizi zinaboa sana kuliko kufurahisha , Nature bhana alikuwa kipindi hicho cha Sonia au mtoto Idd ila siku hizi anazingua tu analazimisha kitu ambacho hakiwezi

Hata ukae usikilize nyimbo zake za zamani na za sasa hivi ni ukweli usiopingika kwamba nyimbo zake za zamani zilikuwa na amsha amsha sana tofauti na za siku hizi

Ushauri: Napenda kumshauri Nature aendelee tu na kilimo kama cha vitunguu ,nyanya ,mpunga nk ndio kitu anachokiweza mziki aachane nao kabisa maana kila wimbo anaoutoa ni mbaya kuliko uliopita=full]419787[/ATTACH]


2: Kr Mullah

Binafsi huyu jamaa huwa sielewi watu wanampendea nini kwanza mchafu ,hajielewi yaan yupo yupo tu kwa kifupi na hata leo ukiniuliza wimbo alioimba Kr si ujui hata mmoja sina uhakika kama ana wimbo wowote huyu jamaa zaidi ya kuimba vipande vichache alivyoimba alipokuwa TMK wanaume family

Nashangaa sana mvutano baina ya TID mnyama na Nature kuhusu huyu jamaa


Ushauri: namshauri kr aende sober house kwanza arudi katika hali ya kawaida kisha aachane na mziki akawe konda wa daladala atapendeza sana tena na hivi unadhifu kwake ni zero atafaa sana maana asilimia kubwa ya makonda ni watu wasiojipenda (wachafu wachafu)



View attachment 419710
View attachment 419799View attachment 419787View attachment 419787



3: Snura Mushi
Huyu dada naye mziki haujui kabisa zaidi ya uswahili swahili tu na kuchezesha chezesha makalio kila kukicha
Mashabiki wake wengi wanampendea anavyomwaga radhi hovyo kwenye show zake na kwenye video zake lakini si uwezo wake wa uimbaji


Ushahidi wa huu upo kwenye video ya chura, chura iliyofungiwa ilimpa kiki sana na ilipendwa sana ila tazama chura ya sasa hivi ambayo imefuata maadili ,watu wengi hawaikubali wala nini na ndio maana huyu dada kila kukicha anagombana na Basata kwa kosa la kuvunja maadili kwa kuwa anajua fika asipovunja maadili na kuyaanika maungo ya kike show zake zitamdodea ndio maana anafanya juu chini kutafuta watu wa kumwaga radhi kwenye show zake



Ushauri: namshauri aache kuimba mziki ajiunge na hawa wanaocheza na kanga moja jukwaani au ajiunge na hawa wanaopiga vigoma asilia au watu wa baikoko ndio kitu anView attachment 419749achokiwezaView attachment 419789




4:Lina Sanga
Huyu naye tangu atoe wimbo wa olethemba hamna cha maana alichokibakisha kwenye mziki bora aachane nao kabisa aangalie kingine cha kufanya.Inaonesha huyu mwanadada kuna mtu alisimama nyuma yake kumsukuma kwenye mambo yake ya mziki sasa inaonekana jamaa kashaonja tunda akaona amtose mazima na kusababisha binti ayumbe sana

Ushauri😛amoja na kuyumba sana kimziki huyu binti kipaji bado anacho sema kinaachotakiwa inabidi abadili aina ya mziki anaoimba ,inabidi akaimba nyimbo zinazomtukuza Mungu atapendeza sana ,huyu binti anajua sana kuimba nyimbo za kuleta faraja mfano mzuri wimbo wake wa malkia wa nguvu
View attachment 419733




5: Enock Bella
Huyu dogo naye kuimba hajui ila anafichwa na uwepo wa kwenye kundi

Sidhani kama anaweza kusimama peke yake kama msanii wa kujitegemea pasi na kumshirikisha yeyote kwenye wimbo wake



Ushauri: namshauri kijana aendeleze kipaji chake cha ku dance atafika mbali kama mwenzake Mose IyoboView attachment 419737



6: Aika
Huyu demu kwa kiasi kikubwa anamtegemea sana Nahreel ila yeye binafsi kutoa wimbo wa peke yake na ku hit si rahisi ,ukitaka kuamini hivyo msikilize kwenye interview mbalimbali akiambiwa aimbe uone vichekesho

Ushauri: namshauri huyu msichana atafute pesa za haraka haraka aboreshe gym fitness center yake na vibiashara vyake vidogo vidogo maana atakapopigwa chini tu na Nahreel huo ndio utakuwa mwisho wake wa mziki ,sasa ni bora aboreshe zaidi huku na kuwekeza nguvu ya kutosha kuliko kujichosha na mziki maana kuimba hajui


View attachment 419743


7:Temba

Huyu jamaa naye mziki umemkalia kushoto sana siku hizi ingawaje analazimisha tu ,tofauti na zamani enzi za nampenda yeye, side mnyamwezi, mkono mmoja ,nyimbo nyingi anazotoa siku hizi anakuwa anaongea ongea tu mwanzo mwisho badala ya kuimba



Ushauri: huyu jamaa naona inabidi apewe msasa wa kutosha na Mrisho Mpoto awe naye ana ghani mashairi maana huko ni kuongea ongea tu mwanzo mwisho kama anavyofanya mpoto au kama vipi arudi kwenye fani yake ya kucheza kikapu atapendeza sana na urefu wake. View attachment 419749


10:Ally Kiba
Huyu kijana bado ni mwanamuziki mzuri tu na sauti pia si haba tatizo ni kuwa ni mtu mwenye majivuno,vijembe asiye na muelekeo na mtu mwenye kisirani,lawama naasiye penda maendeleo ya mwingine sana sana hapendi kumuona Daimond anavyofanikiwa ,ushahidi wa haya maelezo ,muangalie interviews nyingi anazofanya utagundua jamaa ana kijiba cha roho na mkaanga sumu hodari,usipate shida kumjua macho yake tu yanadhihirisha hayo ,inaonekana kungekuwa kuna sehemu wanauza uchawi angenunua kitambo sana



Ushauri: kijana nafasi ya kubadillika bado ipo badilika haraka sana kabla mambo hayajakuchachia
La sivyo kaimbe taarabu ndio mziki utakao uweza maana ndio mziki uliojaa majungu,wivu, visirani ,uchawi na kuombeana mabaya kila kukicha si ajabu kuona wasanii wa taarabu kutoka bendi mbili tofauti wakikaushiana pindi wakutanapo pamoja kwenye ishu yeyote ile hata kama msibani wataliana bati na si ajabu vijembe vikaanza hapo hapo msibaniView attachment 419785
Una umri gani we mtoa post?
 
juma nature mimi hata zamani nilikua simuelewi, zaidi ya maziki wake mmoja tu, hakuna kulala[emoji7]..

miziki ya zamani iliyotamba bila maana yoyote sijui ndo waliimba hawa NGANGARI..[emoji23][emoji23][emoji23]
estelina hana juhudi!
snura ana juhudi za kibongo bongo..
wengine wafanye mengine mziki umewapita...
Nyimbo gani ya Snura unayoiona inatufaa kama jamii ya wastaarabu? Huyu kama si ule mkia, hamna msanii.
 
Ukweli KR hawezi simama mwenyewe,bila wachuja nafaka na wanaume TMK hata tusingemjua, sikumbuki kama niliwahi sikia single yake hata moja,kitu pekee anachoweza sana ni kucheza mapanga shaaa,Temba anajua kuimba mambo ya kitandani tu zaidi ya hayo hana maneno mengine ya maana,Linah anajua kuimba sana ila sidhani kama anajua kutunga hii inamaanisha asipotungiwa wimbo ndo basi tena,yangu ni hayo tu kwa leo baaaaaaaai.
 
Uhmmm...cjui unaongelea mziki gani,lkn watu kama Kiba,lina,temba nadhani wwe ndio utakuwa hupend aina ya uimbaj wao lkn sio kuwa hawajui imba.

Lina kweli hajui kuandika lkn anatoa idea anandikiwa na anasauti nzur
 
Back
Top Bottom