Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,235
- 1,268
cousin na 20%je
ile sura ni ya kitajiri/maskini??
20% ana sura ya kimaskini. cousin simjui..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cousin na 20%je
ile sura ni ya kitajiri/maskini??
Kule ambapo we haupo..
Ha ha ha ha JF is home kwakweliNaangalia SWAGGA za mhusika in general.., mfano msanii mwenye lafudhi ya kimakonde moja kwa moja anaangukia upande wa sura za kimaskini.., vice-versa is true. Pia naangali muonekano wa sura yake.., yule mwenye sura kama analamba ndimu anaangukia hilo kundi la muonekano wa kimasikini, vice-versa is true. Pia naangalia uvaaji wake.., by the way hivi vigezo vinakubalika kabisa humu JF..!
cousin na 20%je
ile sura ni ya kitajiri/maskini??
hahahaa!!cousin yangu ni yule niliemquote!!20% ana sura ya kimaskini. cousin simjui..
Cousin ile sura ya 20% ni ya kitajiri halafu ile inalipa ile mbaya yaani ina mvuto wake unapoiona
Cousin ile sura ya 20% ni ya kitajiri halafu ile inalipa ile mbaya yaani ina mvuto wake unapoiona
Uumbaji wa Mungu huo,wewe ni nani wakumkosoa?
Yupi huyo tena..?Haaaa na yule ndugu yangu aliyefumaniwa kisha majuzi kati.ameanguka kwenye ile gari ya miguu mitatu je?
Sura za kina kigwendu hata aigize anaiendesha bugati utajua tu si lake
Tunakufahamu mkuu, Lakini basi ubishi.