Wasanii wenye vipaji ila sura za kimasikini hawa hapa!

Ha ha ha ha JF is home kwakweli
 
mmm sijui sura ya kimaskin wala tajir
 
Uumbaji wa Mungu huo,wewe ni nani wakumkosoa?

Onyesha wapi nimemkosoa.., mi nime highlight nilichokiona tu.., mbona husemi nilivyowasifia kwamba wanavipaji.., ila we utakuwa na sura mbaya tu.., lol..!
 
Onyesha wapi nimekosoa.., mi nimehighlight nilichokiona tu.., mbona husemi nilivyowasifia kwamba wanavipaji.., af we utakuwa na sura mbaya tu.., lol..!
 
Haaaa na yule ndugu yangu aliyefumaniwa kisha majuzi kati.ameanguka kwenye ile gari ya miguu mitatu je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…