Ni mifano mingi tumeona pindi msanii au mtu yeyote yule ambaye amefikia umri wa kuanzisha familia inapotokea amefariki bila hata ya kuacha angalau mtoto mmoja ambaye atakuwa faraja kwa familia au jamii kwa ujumla.
Nimeamua kusema hivi kwa sababu nimetoka kusikiliza historia ya marehemu MEZ B, R.I.P ikisomwa leo wakati amezikwa sikusikia kuwa marehemu alianzisha familia yake achilia mbali hata mtoto tu. Kweli inaumiza ukizingatia marehemu alivuka miaka 30 na zaidi.
Sio tu Mez-b pia na Ngwear pia R.I.P bila kusahau Kanumba R.I.P pamoja na wengine wengi. Tujifunze jamani inaleta faraja kwa familia pindi wakimwona mtoto alieachwa na marehemu.
Nimeamua kusema hivi kwa sababu nimetoka kusikiliza historia ya marehemu MEZ B, R.I.P ikisomwa leo wakati amezikwa sikusikia kuwa marehemu alianzisha familia yake achilia mbali hata mtoto tu. Kweli inaumiza ukizingatia marehemu alivuka miaka 30 na zaidi.
Sio tu Mez-b pia na Ngwear pia R.I.P bila kusahau Kanumba R.I.P pamoja na wengine wengi. Tujifunze jamani inaleta faraja kwa familia pindi wakimwona mtoto alieachwa na marehemu.