Pre GE2025 Wasanii wetu tumieni mitandao na umaarufu wenu kukemea utekaji na mauaji yanayoendelea

Pre GE2025 Wasanii wetu tumieni mitandao na umaarufu wenu kukemea utekaji na mauaji yanayoendelea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nchi yetu Ina maajabu mengi sana ,nilitegemea kuona tweet na posti nyingi tangia jana kutoka kwa wasanii wakipaza sauti juu ya Hali hii lakini nimeishia kuona Lady jaydee, zuchu na Idrisa tu angalau wamepiga kelele kukemea jambo hili ,kwa nini nyinyi wasanii hamjitambui ?

Nani amewaroga au mnataka akitekwa msanii ndio mpige kelele? Nyinyi mnafollowers wengi mnafuatiliwa na watu wengi kwanini mnakuwa na roho za kichawi ? Kweli Nassibu, Nandy ,Harmonize, Whozu, Wema na wengine wote mnataka mpaka watekwe wazazi wenu ?

Hamjaguswa na mauaji haya ?? Acheni Sanaa za uchawa !! Kila mtu akipiga kelele kukemea na kulaani jambo hili serikali ingesikia na kuongeza juhudi za kulinda raia wake !! Huyu amepatikana ameuliwa Kuna wengine Bado hawajulikani waliko !! Pazeni sauti hili sio jambo la kisiasa !!

Soma Pia:
~ Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
~ Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?
 
Nchi yetu Ina maajabu mengi sana ,nilitegemea kuona tweet na posti nyingi tangia jana kutoka kwa wasanii wakipaza sauti juu ya Hali hii lakini nimeishia kuona lady ,zuchu jaydee na idrisa tu angalau wamepiga kelele kukemea jambo hili ,kwa nini nyinyi wasanii hamjitambui ? Nani amewaroga au mnataka akitekwa msanii ndio mpige kelele? Nyinyi mnafollowers wengi mnafuatiliwa na watu wengi kwanini mnakuwa na roho za kichawi ? Kweli nassibu ,nandy ,harmo ,whoz,wema na wengine wote mnataka mpaka watekwe wazazi wenu ? hamjaguswa na mauaji haya ?? Acheni Sanaa za uchawa !! Kila mtu akipiga kelele kukemea na kulaani jambo hili serikali ingesikia na kuongeza juhudi za kulinda raia wake !! Huyu amepatikana ameuliwa Kuna wengine Bado hawajulikani waliko !! Pazeni sauti hili sio jambo la kisiasa !!
Hii nchi Ina viongozi ama mfano wa Viongozi itokeee tumpate kama yule mwamba wa kule aloooooh jamaa nimempenda yupo cool mda wote yule ni Mimi kabisa🔥💪🦿
 
Hata hao uliowataja ni machawa ila wamepima upepo baada ya kuona mama yao amepost kuhusiana na suala la ukatili aliofanyiwa marehem Kibao, unawaona wana hafadhali kwasababu ni wanafki wabobevu wanaojua kufanya timing vizuri
 
Nchi yetu Ina maajabu mengi sana ,nilitegemea kuona tweet na posti nyingi tangia jana kutoka kwa wasanii wakipaza sauti juu ya Hali hii lakini nimeishia kuona lady , jaydee zuchu na idrisa tu angalau wamepiga kelele kukemea jambo hili ,kwa nini nyinyi wasanii hamjitambui ? Nani amewaroga au mnataka akitekwa msanii ndio mpige kelele? Nyinyi mnafollowers wengi mnafuatiliwa na watu wengi kwanini mnakuwa na roho za kichawi ? Kweli nassibu ,nandy ,harmo ,whoz,wema na wengine wote mnataka mpaka watekwe wazazi wenu ? hamjaguswa na mauaji haya ?? Acheni Sanaa za uchawa !! Kila mtu akipiga kelele kukemea na kulaani jambo hili serikali ingesikia na kuongeza juhudi za kulinda raia wake !! Huyu amepatikana ameuliwa Kuna wengine Bado hawajulikani waliko !! Pazeni sauti hili sio jambo la kisiasa !!
Loo hawa ndio wakukemea ? Watu wameshajenga na hela za mkopo wanasubiri tour za ccm kwenye kampeni walipe madeni
 
Zuchu ameshakemea vikali sana kupitia insta yake na amelaani tukio Hili hanaga ujinga
So unataka Nan akemee????
Ukikemea we inatosha
Tumechoka kuskia hizo hadithi za wasanii kukemea......
 
Hata hao uliowataja ni machawa ila wamepima upepo baada ya kuona mama yao amepost kuhusiana na suala la ukatili aliofanyiwa marehem Kibao, unawaona wana hafadhali kwasababu ni wanafki wabobevu wanaojua kufanya timing vizuri
Huu ni utamaduni mbaya sana katika nchi yetu
 
Back
Top Bottom