je,kuna kilichobadilika.?Fuatilia ac zangu zote utaona nilichofanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
je,kuna kilichobadilika.?Fuatilia ac zangu zote utaona nilichofanya
Exactlyje,kuna kilichobadilika.?
Kwann wasanii pekee???Ni lazima kuwaambia ukweli inaonekana hawajui umuhimu wao kwa jamii
Wasanii hawa hawa wanaotuhumiwa kuuza inya zao ili kuhit?Ni lazima kuwaambia ukweli inaonekana hawajui umuhimu wao kwa jamii
Mambo ya nayo endelea katika jamii yetu hayawahusu woko busy kusifia tu.Nchi yetu Ina maajabu mengi sana ,nilitegemea kuona tweet na posti nyingi tangia jana kutoka kwa wasanii wakipaza sauti juu ya Hali hii lakini nimeishia kuona lady , jaydee zuchu na idrisa tu angalau wamepiga kelele kukemea jambo hili ,kwa nini nyinyi wasanii hamjitambui ? Nani amewaroga au mnataka akitekwa msanii ndio mpige kelele? Nyinyi mnafollowers wengi mnafuatiliwa na watu wengi kwanini mnakuwa na roho za kichawi ? Kweli nassibu ,nandy ,harmo ,whoz,wema na wengine wote mnataka mpaka watekwe wazazi wenu ? hamjaguswa na mauaji haya ?? Acheni Sanaa za uchawa !! Kila mtu akipiga kelele kukemea na kulaani jambo hili serikali ingesikia na kuongeza juhudi za kulinda raia wake !! Huyu amepatikana ameuliwa Kuna wengine Bado hawajulikani waliko !! Pazeni sauti hili sio jambo la kisiasa !!
Ndio inatakiwa hivyo....sasa kama hawezi hata kuposti au kupaza sauti sasa ataweza nini?Kwa ujumla wao Kila mtu angejaribu kupaza sauti yake
Yeye anaishia kuposti tena kwa kutumia fake ID's, ila anataka Zuchu amsemee.Then thread Yako ingelenga watu wote .....na syo kua specific na wasanii mkuu
So itabadilisha nn wakikemea mkuu........nafkiri hao hutumia kuraise awareness ya kitu labda ....naamini jamii yote iko awared now.....so sidhan kama wao kukemea au kutokukemea kutakua na impact.......tuslaumu tu bila kuja na ideas za kumalza hili.....Watu wote kivipi ndugu hao wanafuatiliwa zaidi
Basi tuletee hiyo ideas huenda ikatusaidiaSo itabadilisha nn wakikemea mkuu........nafkiri hao hutumia kuraise awareness ya kitu labda ....naamini jamii yote iko awared now.....so sidhan kama wao kukemea au kutokukemea kutakua na impact.......tuslaumu tu bila kuja na ideas za kumalza hili.....
Na ID yako fake...acha utani kijana.Fuatilia ac zangu zote utaona nilichofanya
Sina ideas that's y simlaumu mtuBasi tuletee hiyo ideas huenda ikatusaidia