Pre GE2025 Wasanii wetu tumieni mitandao na umaarufu wenu kukemea utekaji na mauaji yanayoendelea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Angalau Idriss Sultan ameoneshwa kuguswa japo ameogopa kufunguka mazima ila ameeleweka. Kuna post kaiweka FB leo. Mungu ambariki.
Kwakweli nimeona nikatamani wote wafanye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…