Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Usiku huu nimewaza tu kama wasanii wetu wangekuwa na Ukwasi na Umaarufu kama alio na aliokuwa nao Michael Jackson wangekuwaje na ingekuwaje?
Mtu ambaye wimbo wake mmoja kwenye You tube unaweza kuangaliwa na zaidi ya watu milioni 650 duniani . Hawa wetu wanaoishi maisha bandia lakini ndiyo hawashikiki kwa minato na tambo za mitandaoni!!
Mtu ambaye wimbo wake mmoja kwenye You tube unaweza kuangaliwa na zaidi ya watu milioni 650 duniani . Hawa wetu wanaoishi maisha bandia lakini ndiyo hawashikiki kwa minato na tambo za mitandaoni!!