elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Ila sometimes msipende mponda mtu bila sababu ya maana mana hata nyie hamtopenda kutendewa hili
Aahh hao si watoto wa mtaa walio zijua pesa ukubwani?
Hata mimi nilitaka kuuliza hivyo hivyo, kwa mfano Jumapili ya leo yote nimrelax tu nyumbani na ni redio station moja tu niliyokuwa nasikiliza, hii redio inaitwa Choice fm, ni full kidhungu, Bongo fleva, Taarab na Bolingo huku havina nafasi na kushangaza zaidi redio hii inamilikiwa na Clouds media vilevile.na nyie muda wa kuangalia mavipindi ya ajabu ajabu mnatoa wapi????
Hata mimi nilitaka kuuliza hivyo hivyo, kwa mfano Jumapili ya leo yote nimrelax tu nyumbani na ni redio station moja tu niliyokuwa nasikiliza, hii redio inaitwa Choice fm, ni full kidhungu, Bongo fleva, Taarab na Bolingo huku havina nafasi na kushangaza zaidi redio hii inamilikiwa na Clouds media vilevile.
Lakini cha kushangaa humu kila siku utasikia inalalamikuwa Clouds Fm na Kibonde, wakati redio za mizaha mmechaguwa wenyewe mbona hii Choice fm nayo ni ya Kusaga na ni full raha? kwanza vilaza kama Kibonde wenye English ya kuunga unga upande wa choice fm hawakanyagi kule ni uwanja wa Ema Chriss. inshort ukipenda upuuzi na mizaha utaangalia vipindi vya mizaha na upaswi kuja kulalamika is your choice.
Hivi unategemea mtu anayeejita Ommy Dimpoz akili atatowa wapi? hakuna analojuwa zaidi ya hizo Dimpoz.
Fafanuwa lugha za leo tena si kila mtu anazielewa.Mh!
We nawe kwa kujikosha tu, umejaliwa.
Hata mimi nilitaka kuuliza hivyo hivyo, kwa mfano Jumapili ya leo yote nimrelax tu nyumbani na ni redio station moja tu niliyokuwa nasikiliza, hii redio inaitwa Choice fm, ni full kidhungu, Bongo fleva, Taarab na Bolingo huku havina nafasi na kushangaza zaidi redio hii inamilikiwa na Clouds media vilevile.
Lakini cha kushangaa humu kila siku utasikia inalalamikuwa Clouds Fm na Kibonde, wakati redio za mizaha mmechaguwa wenyewe mbona hii Choice fm nayo ni ya Kusaga na ni full raha? kwanza vilaza kama Kibonde wenye English ya kuunga unga upande wa choice fm hawakanyagi kule ni uwanja wa Ema Chriss. inshort ukipenda upuuzi na mizaha utaangalia vipindi vya mizaha na upaswi kuja kulalamika is your choice.
Hivi unategemea mtu anayeejita Ommy Dimpoz akili atatowa wapi? hakuna analojuwa zaidi ya hizo Dimpoz.
na nyie muda wa kuangalia mavipindi ya ajabu ajabu mnatoa wapi????
naangalia kipindi cha sporah kuna ommy dimpoz, alikiba, na mtanzania flani ana asili ya kiasia pamoja na dada flani mtanzania anasoma u.k.
Alikiba na ommy wanaboa kwakuwa wanaropoka yani wako kama vile kijiweni, they dont stick on the point, masikhara mengi mara miguu waweke mezani, wanapayuka payuka.
Wasanii wa kibongo wanabidi wajifunze kubehaviour according to place and context.
Iyo kitu niliisoma Ile day! Yani walikutana mambulula alaf waliponiacha hoi walipoanza kudiskas matokeo ya kidato Cha nne! Ilibidi nibadilishe channel coz ilikua Ni shame! Non sense