Wasanii wote na watu maarufu (influencers) jiungeni JamiiForums kwa majina yenu halisi au majina ya Biashara zenu

Wasanii wote na watu maarufu (influencers) jiungeni JamiiForums kwa majina yenu halisi au majina ya Biashara zenu

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Shalom watu wa Mungu.

Baada ya kutambua kwamba JamiiForums ni jukwaa kubwa sana la lugha ya kiswahili afrika na dunia nzima.
Ninawahasa wasanii wote na watu maarufu wajiunge humu ili kupata maarifa mengi sana kutoka kwa wadau mbali mbali, So far ninazinjua account chache sana za viongozi na watu mashuhuri hapa JamiiForums.

Inawezekana kuna baadhi ya vitu vya muhimu sana hawa watu wanavikosa sababu wanapenda zile platform za kuuza sura.

Natoa ushauri pia kwa viongozi wa jukwaa hili kufanya mechanism nzuri inayofaa Kuwaita au kuwashawishi kujiunga na platform hii.

Natamani kuona: Rais Samia Suhuhu Hasan, Mtu kama Milard ayo, Diamond platinums. (Nimewataja hao kwa uchache)

Sababu yangu kuu, Ukiwa na account hapa JF yaani utafanya interaction yako na watu walio makini na wanaweza kukushauri mambo mengi sana, Instagram na kule X naona tu watu wanajaza comments za kipumbavu na matangazo ya bidhaa za followers.

Nimeandika kwa uchache ila nahisi tumeelewana.
 
Shalom watu wa Mungu.

Baada ya kutambua kwamba jamiiforum ni jukwaa kubwa sana la lugha ya kiswahili afrika na dunia nzima.
Ninawahasa wasanii wote na watu maarufu wajiunge humu ili kupata maarifa mengi sana kutoka kwa wadau mbali mbali, So far ninazinjua account chache sana za viongozi na watu mashuhuri hapa jamiiforum.

Inawezekana kuna baadhi ya vitu vya muhimu sana hawa watu wanavikosa sababu wanapenda zile platform za kuuza sura.

Natoa ushauri pia kwa viongozi wa jukwaa hili kufanya mechanism nzuri inayofaa Kuwaita au kuwashawishi kujiunga na platform hii.

Natamani kuona: H.E Samia Suhuhu Hasan, Mtu kama Milard ayo, Diamond platinums. (Nimewataja hao kwa uchache)

Sababu yangu kuu, Ukiwa na account hapa JF yaani utafanya interaction yako na watu walio makini na wanaweza kukushauri mambo mengi sana, Instagram na kule X naona tu watu wanajaza comments za kipumbavu na matangazo ya bidhaa za followers.

Nimeandika kwa uchache ila nahisi tumeelewana.
Watu wenye kama wewe ndio tufanyenae mawasiliano? Salam yako tu imejaa udini
 
Back
Top Bottom