playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Pumbavu kuwapa wasanii wengine platform ya kuendeleza vipaji ndo nae ajipe platform ya kuimba ufyolo?Fungia shenzi huyo...kumekuwa na manyau ambayo huyu bwana hata aamue kuingia na nguruwe msikitini yatamtetea na ndo hayo yanayompa bichwa hamumjengi kunguru yule amekuwa mtu wa kufanya ujinga mwiiingi ili azungumziwe stupid fungia mwaka mzima ajifunze.Teh teh teh teh!!!!!!
Halafu BASATA wanamfungia msanii anayewapa wasanii wenzake platform ya kuendeleza vipaji vyao na kuinua hali zao za kiuchumi pia
Pathetic!!!!
Haya kama ni kweli tunaomba BASATA muingilie kati upuuzi huo na ikibidi fanyeni uchunguzi wenu,ifuatilieni habari hii,ikitokea kama alivyosema mleta ujumbe,Ifungie hiyo redio MILELEE kwa kuwa kazi yao itakuwa ni kuwaharibia future wasanii