Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh teh!!!!!!
Halafu BASATA wanamfungia msanii anayewapa wasanii wenzake platform ya kuendeleza vipaji vyao na kuinua hali zao za kiuchumi pia
Pathetic!!!!
Haya kama ni kweli tunaomba BASATA muingilie kati upuuzi huo na ikibidi fanyeni uchunguzi wenu,ifuatilieni habari hii,ikitokea kama alivyosema mleta ujumbe,Ifungie hiyo redio MILELEE kwa kuwa kazi yao itakuwa ni kuwaharibia future wasanii
Wasanii wanakosa gani? Wasanii ni service providers kwa haya matamasha, kosa lao silioni.Kosa walilolifanya wasafi kuja kutaka upinzani na CMG...EFM ilivyoanza walikuja na style hiyo kiko wapi...Diamond "wapambe" wako wakina Tale wanàkupotosha...ungekuja kimya kimya bila ya beef na MTU...mfano CMG walivyoanza walikuta Radio one ya Mengi ikiwa moto..walichofanya wao kuwa na vipindi bora sio kuwatukana wala kuleta beef nao...mpaka leo Clouds FM iko juu ya Radio one...tafuta vichwa hao jamaa zako wakubebee mabegi ukisafiri tu...
Watu wanaroho mbaya sana.
Dogo kahustle sana,fikiria tu mfano THT iliyo chini ya wanyonyaji wakubwa wa clouds walimwambia hawezi kuimba wakamkatalia kuingia huko,dogo akatumia njia anazozijua akaja kutusua tena kinoma noma,sasa hv wanamwonea wivu,wanaona hawana mchango ktk kumfanya awe hivyo alivyo ndio inakuwa nongwa kwa kuwa hawataweza kumwendesha kama rimoti
Dogo kaanzisha festival yake kidogo tu walionza kabla yake wanajambajamba tu,katoa misaada kwa jamii balaa,hao walioanzisha fiesta sijawahi kuona mchango wao hata mmoja kwa jamii.
Amini usiamini dogo yupo pamoja na Mungu ingawaje ana mapungufu kama mwanadamu,lakini ana mazuri mengi sana kuliko wengine,dogo kwa,kweli ameonewa,hata justice to be held haikufanyika,tena hadi na vyombo vya serikali,ilikuwa,apigwe fine kubwa kidogo ili ajutie lakini sio kumharibia career yake.
Wana roho mbaya mno na hawataweza
Kabisa Mkuu halafu anakuja mburula anataka kumzibia riziki yake kwa kumzuia kuperform hata nje ya nchi ambako hakuna anayejua basata ni mdudu gani.
Habari zilizonifia hivi punde ni kwamba wasanii wote walioshiriki kwenye tamasha la Wasafi awatopigwa nyimbo zao clouds media, hiyo order imetolewa kwa waendesha vipindi vyote mjengoni.
Adhabu hiyo ina lengo la kuwa-discipline wasanii kutoshiriki matamasha tofauti na yanayoendeshwa na clouds.
Hahaha, mi sijui hata ka kuna kitu kinaitwa radioMwendo wa bifu za kijinga tu, wameambiwa watu sikuiz bado tunasikiliza redio?
Wabadilike aisee, wafanye bifu za kiutuuzima. Sahv watu wanashindana viewers YouTube baada ya kutoa ngoma wao wanapigiana zongo redioni, bado wapo gizani aisee.Hahaha, mi sijui hata ka kuna kitu kinaitwa radio
JF ya siku hizi bana,Ok nakupa homework ndani ya miezi hii miwili ukisikia nyimbo za msanii yoyote aliyeimba kwenye wasafi njoo unisute.
Maigizo tu haya,Habari zilizonifia hivi punde ni kwamba wasanii wote walioshiriki kwenye tamasha la Wasafi awatopigwa nyimbo zao clouds media, hiyo order imetolewa kwa waendesha vipindi vyote mjengoni.
Adhabu hiyo ina lengo la kuwa-discipline wasanii kutoshiriki matamasha tofauti na yanayoendeshwa na clouds.