mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
straight to the point above:
1. Ali Kiba
wewe jamaa unamavocal,masauti,na pengine unapendwa sana kazi zako..ila umeshindwa kabisa kukaa kwenye game na kujitangaza ipasavyo.
2.Lulu MIchael Elizabeth
sidhani kama unajitambua vema,may be uzi huu utakufungua.
3.WEma Sepetu
Hili limeshazungumzwa sana hapa jamvini kuhusu uyu mdada,ata ndomo alipost insta.
4.Banana Zoro
kati ya wasanii wa muziki ambao walipaswa kuwa level za You soon Doo (sory kama nimekosea) ni wewe,lakini umebweteka mwenyewe unafanya vilive show vya buku 5 ijumaa ukaridhika.unaniangusha sana kiumbe.
5.Young Killer
Dogo ungekua level za Weezy saa hizi..ebu kaza boo basi
6.Ya Moto Band
Hawa labda niendelee kuwapa muda.
7.Jokate Mwegelo
Tokea nakuona chuo mlimani,niliona ulipaswa kuwa sehem fulani...hadi sasa bado naona ulipaswa kuwa somewhere else..but ur not doing so...una shida gani?mara malapa,mara bongofleva,mara mc mara talkshow..huelewek unataka nini..iyo pspa degree unaitumia vema kweli?ebu tafuta kazi ubalozini huko ukae kimyaa uzae uolewe
8.Barnaba
wewe jamaa huwa unaweza sana,ile colabo yako na Falii vipi?au hufuatilii?mkabe mzeee...acha kuridhika kiduwanzi
jamani naomba msinitajie list ya vilaza walio nje ya list hii...hawa ndio wasanii wanaoendana na title iliyopo juu..kama una wako waanzishie uzi...part 2 inakuja.
9.Q Chilla
Huyu jamaa kwishnehi kwa sasa,ila ni msanii mzuri asiejua apite wapi,pole yake
c.c warumi
1. Ali Kiba
wewe jamaa unamavocal,masauti,na pengine unapendwa sana kazi zako..ila umeshindwa kabisa kukaa kwenye game na kujitangaza ipasavyo.
2.Lulu MIchael Elizabeth
sidhani kama unajitambua vema,may be uzi huu utakufungua.
3.WEma Sepetu
Hili limeshazungumzwa sana hapa jamvini kuhusu uyu mdada,ata ndomo alipost insta.
4.Banana Zoro
kati ya wasanii wa muziki ambao walipaswa kuwa level za You soon Doo (sory kama nimekosea) ni wewe,lakini umebweteka mwenyewe unafanya vilive show vya buku 5 ijumaa ukaridhika.unaniangusha sana kiumbe.
5.Young Killer
Dogo ungekua level za Weezy saa hizi..ebu kaza boo basi
6.Ya Moto Band
Hawa labda niendelee kuwapa muda.
7.Jokate Mwegelo
Tokea nakuona chuo mlimani,niliona ulipaswa kuwa sehem fulani...hadi sasa bado naona ulipaswa kuwa somewhere else..but ur not doing so...una shida gani?mara malapa,mara bongofleva,mara mc mara talkshow..huelewek unataka nini..iyo pspa degree unaitumia vema kweli?ebu tafuta kazi ubalozini huko ukae kimyaa uzae uolewe
8.Barnaba
wewe jamaa huwa unaweza sana,ile colabo yako na Falii vipi?au hufuatilii?mkabe mzeee...acha kuridhika kiduwanzi
jamani naomba msinitajie list ya vilaza walio nje ya list hii...hawa ndio wasanii wanaoendana na title iliyopo juu..kama una wako waanzishie uzi...part 2 inakuja.
9.Q Chilla
Huyu jamaa kwishnehi kwa sasa,ila ni msanii mzuri asiejua apite wapi,pole yake
c.c warumi