MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
A way to a man's heart is through his stomach................. Kwa tafsiri yangu ya elimu ya ngumbaru ni kuwa ukiwa mpishi mzuri wa chakula, basi umewin moyo (mapenzi) wa mpenzi/mume wako.......
Najaribu kuwaza
1. Je kuna ukweli katika usemi huu....................?
2. Kama ni kweli, unatuweka wapi katika dunia ya sasa ambayo mpishi/mtengenezaji wa chakula hiki si mke/mpenzi bali ni mdada wa kazi??
Kina kaka how effective is this kwenye kapu lenu la mahusiano?
hamjambo lakini?
Najaribu kuwaza
1. Je kuna ukweli katika usemi huu....................?
2. Kama ni kweli, unatuweka wapi katika dunia ya sasa ambayo mpishi/mtengenezaji wa chakula hiki si mke/mpenzi bali ni mdada wa kazi??
Kina kaka how effective is this kwenye kapu lenu la mahusiano?
hamjambo lakini?