Wasemaji wa timu msilete utani wenu wa kipuuzi (kejeli) kwa makocha wa timu husika

Wasemaji wa timu msilete utani wenu wa kipuuzi (kejeli) kwa makocha wa timu husika

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Bwana mdogo Ally Kamwe naona umeomba msamaha baada ya kuzungumza kauli ya kijinga na isiyofaa ya kusema kwamba "ukipewa Mgunda na andazi unachagua andazi"

Hii ni kwa wasemaje wote mnaotaka likes, comments na kiki kutoka kwa mashabiki wa hizi timu.

Nikiwa kama shabiki namba moja wa Yanga kauli kama hii ya kipuuzi naipinga vikali mno japokuwa Ally Kamwe kuna wazee wa busara wamekufata na kukusihi uombe radhi kwa ujinga (upumbavu) uliotamka.

Utani wenu msihusishe makocha wasiokuwa na kelele Wala kuwakejeli.
 
Bwana mdogo Ally kamwe naona umeomba msamaha Baada ya kuzungumza kauli ya kijinga na isiyo faa ya kusema kwamba "ukipewa mgunda na andazi unachagua andazi"

Hii ni kwa wasemaje wote mnaotaka likes, comments na kiki kutoka kwa mashabiki wa hizi timu.

Nikiwa Kama shabiki namba moja wa Yanga kauli Kama hii ya kipuuzi naipinga vikali mno japokuwa Ally kamwe Kuna wazee wa busara wamekufata na kukusihi uombe radhi kwa ujinga (upumbavu) uliotamka.

Utani wenu msihusishe makocha wasiokuwa na kelele Wala kuwakejeli.
Ndio maana wanamuita NJITI au kirikuu,sababu akili hana ila sio kosa lake kosa ni ule mwiko uliokuwa kule nyuma maana ndio siri ya watu wote wa yanga kukosa akili,maana ukifika tu lazima uchomekwe mwiko kwanza...
 
Sio kejeli tuu kwa Hawa makocha wazee wenye heshima zao
🇹🇿 Haka ka Ali kamwe kana ulimbukeni Fulani kwenye public speech

🇹🇿 Hajui nini Cha kuongea anavyokuwa hewani na nini Cha kutokuongea. Ana pressure na ili pychology ya kuona watu wengi

🇹🇿 Unakuta kameita press ya waandishi , wameanza kurushwa hewani ambako hadhira inabadilika lakini unakuta kanaongea maneno ya matani na kujivuna, hayo alitakiwa ayaongee kabla hawajaanza kurekodi

🇹🇿 Yupo live kwenye hadhira mchanganyiko yenye mashabiki wa Imani tofauti lakini anajiona kama yupo madrasa , utakuta anaitwa watu SHEHE, SHE, SHE, nani anayatska hayo? Kinachotuunganisha ni mpira na sio Imani. Hii tabia hata baadhi ya watangazaji wanayo
 
Ndio maana wanamuita NJITI au kirikuu,sababu akili hana ila sio kosa lake kosa ni ule mwiko uliokuwa kule nyuma maana ndio siri ya watu wote wa yanga kukosa akili,maana ukifika tu lazima uchomekwe mwiko kwanza...
Huwa hauwezi ku comment kistaraabu? kuropoka matusi ndio kujiona mjanja ?
 
Kwa Maslahi mapana ya klabu, huyo Ali Kamwe aondolewe mapema kwenye hiyo nafasi. Iko siku ataropoka jambo kubwa zaidi ya hilo.
 
Bwana mdogo Ally Kamwe naona umeomba msamaha baada ya kuzungumza kauli ya kijinga na isiyofaa ya kusema kwamba "ukipewa Mgunda na andazi unachagua andazi"

Hii ni kwa wasemaje wote mnaotaka likes, comments na kiki kutoka kwa mashabiki wa hizi timu.

Nikiwa kama shabiki namba moja wa Yanga kauli kama hii ya kipuuzi naipinga vikali mno japokuwa Ally Kamwe kuna wazee wa busara wamekufata na kukusihi uombe radhi kwa ujinga (upumbavu) uliotamka.

Utani wenu msihusishe makocha wasiokuwa na kelele Wala kuwakejeli.
Naunga mkono hoja yako. Wasemaji wa hizi timu 2 hawatoshi au nafasi walizopewa ni kubwa Sana. Mwenzake mwezi uliopita aliita watu walio hai Maiti.
 
Jana nilikuwa nasikiliza kipindi cha michezo asubuhi Wasafi radio. Yule mwigizaji aitwaye Mboto alitamka neno kwa aibu niliyo isikia nilizima redio na sijui waongoza kipindi walisawazishaje. Anasema MAMA aro*oke....... Ally Kamwe ndiye alikiwa kiongozi wao kwa upande wa Yanga kwenye hayo mahojiano, elimu ni tatizo kibwa sana hapa Tanzania. Kama mtu anayeshinda kutwa nzima kwenye vyombo vya habari lakini bado hawezi kichagua maneno kwa usahihi tujue tatizo ni kubwa sana. Jerry Muro ndiye mwanzilishi wa "kucharula" lakini alikuwa makini mno, hakuwahi kuvuka mstari.
 
Huu ni upumbavu, mpira sio vita wala uadui.
Vijana wadogo wanalewa sifa mapema huku wakisahau wajibu wao.

Kuomba msamaha tu haitoshi ilipaswa apigwe rungu na mamlaka ili ajifunze uungwana kama walio nao baba zake Thobias Kifaru na mwenzake Masau Bwire.
 
wajifunze kwa maafisa habri bora kama Thobias Kifaru, Masau Bwire. Dismas Ten, Jafar Idd Maganga. Deokaj Makomba, Juma Nkamia, maafisa habari wa timu za majeshi nk
 
Huu ni upumbavu, mpira sio vita wala uadui.
Vijana wadogo wanalewa sifa mapema huku wakisahau wajibu wao.

Kuomba msamaha tu haitoshi ilipaswa apigwe rungu na mamlaka ili ajifunze uungwana kama walio nao baba zake Thobias Kifaru na mwenzake Masau Bwire.
Kweli kabisa yaani sisi wenyewe tukiwa kijiweni hatuwezi kuleteana kejeli Kama hizi
 
wajifunze kwa maafisa habri bora kama Thobias Kifaru, Masau Bwire. Dismas Ten, Jafar Idd Maganga. Deokaj Makomba, Juma Nkamia, maafisa habari wa timu za majeshi nk
Nidhamu kubwa huwezi kuta wanazungumza ushubwada na upuuzi Kama wanavyoropoka wasemaji wa Simba na yanga.
 
Bwana mdogo Ally Kamwe naona umeomba msamaha baada ya kuzungumza kauli ya kijinga na isiyofaa ya kusema kwamba "ukipewa Mgunda na andazi unachagua andazi"

Hii ni kwa wasemaje wote mnaotaka likes, comments na kiki kutoka kwa mashabiki wa hizi timu.

Nikiwa kama shabiki namba moja wa Yanga kauli kama hii ya kipuuzi naipinga vikali mno japokuwa Ally Kamwe kuna wazee wa busara wamekufata na kukusihi uombe radhi kwa ujinga (upumbavu) uliotamka.

Utani wenu msihusishe makocha wasiokuwa na kelele Wala kuwakejeli.
Narudia kwa Mara nyingine, Masao Bwire na Kifaru hawa ndio wasemaji bora kabisa, Simba na Yanga wameliwa, wana machawa tu hakuna wasemaji.

Kule Yanga nako kuna kapuuzi kengine kanaitwa Privadilno haka nako ni kapumbavu Fulani tu.

Wote hawa wanacheza beat za mgonjwa wa akili Manara.
 
Back
Top Bottom