Wasemavyo kuhusu Mange Kimambi

Wasemavyo kuhusu Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Eti ni mgonjwa wa akili alilaaniwa na mama yake mzazi. Yaweza kua ni kweli, maana mambo anayofanya ni zaidi ya ukichaa.

1437714486268.jpg
 
Mkuu, hata kichaa ana afadhali, Mange ni zaidi ya kichaa, binadamu timamu anayejitambua hawezi kuwa na tabia kama za huyu dada aisee. Ninachomshangaa yeye ana augonvi na kila mtu, yani kila mtu ni mbaya kwake, kutwaaa anafuatilia maisha binafsi ya watu na kutukana tuuu bila sababu, sasa sijui nini kinamsumbua maskini ya rabi.
 
Mkuu, hata kichaa ana afadhali, Mange ni zaidi ya kichaa, binadamu timamu anayejitambua hawezi kuwa na tabia kama za huyu dada aisee. Ninachomshangaa yeye ana augonvi na kila mtu, yani kila mtu ni mbaya kwake, kutwaaa anafuatilia maisha binafsi ya watu na kutukana tuuu bila sababu, sasa sijui nini kinamsumbua maskini ya rabi.

Kwa kweli ana matatizo nimeona kwenye blog yake kamuandika mchepuko wa Mume wa Shamimu, maskini dada wa watu kaweka picha zake mpaka nyumba anayoishi. Dada wa watu maskini hajamkosea kitu chochote jamani.
 
Huyo mwanamke ana tatizo flani la kiakili...sio bure

On a serious note
 
Anaitaji msaada kwakweli si bure akili yake haiko sawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom