hivi tuliosoma ubungo islamic seminary tunaruhusiwa hapa?
ubungo co seminary ,seminary huwa tunafaul wote kw ubarikio wa Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi tuliosoma ubungo islamic seminary tunaruhusiwa hapa?
ukitaja seminary tu iko waz inajulikan ni za kikatoliki,ndo maana hat hap hujaon lutheran,
hizo zot n catholic seminary
islamic seminary hay majin tu hapo hakuna seminary et mtamban,ridhiwaa,ubungo, hazin hata hadh ya nukta kuitwa seminary
Na Agape Lutheran na Morogoro juniour seminary je?
Nini kinafanya shule iitwe seminary?
Na Agape Lutheran na Morogoro juniour seminary je?
Nini kinafanya shule iitwe seminary?
agape wanasoma wakin juma,mohamed unaitaje seminary hiyo xam to moro junior muulize zaid msabila atakwambia
seminary huwa hatufeli daima kwa mpango wa mungu
Likonde seminary mpoooo?
mbona hujaitaja st.Joseph seminary Ujiji
Nainua macho yangu kutazama milima - Completo
Seminary ni shule ya Kikatoliki inayowaandaa vijana wa Kikatoliki Kiimani na Kiroho ili hapo baadae waje kuwa Mapadri.
Tuliopita lutherani juniir seminary je?
MKUU kama vile nnakukumbuka.Mimi nilikuwa house ya Ujamaa.daa those days!!! Pionjar,brother kisiki...Fr Kinyaia(askofu now) morata(amefariki mwaka Jana)topolino
Mkuu kuna zaburi moja ya inasema ndama kucheza na mwanasimba na kuyachezea majoka huo ndio ukuu wa Mungu ilikuwa inachekesha sana...
that isn't a seminary.
Hizo sala ukiwa unasali usiku ule muda wa kwenda kulala ni full usingizi. Mbaya zaidi mtu aanzishe sala kwa kuimba, kanisa zima litasonya.