Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Mambo vp mamito,hata kama umefua bwana? Yaani nyingine za mtumba ukicheki pale centre rangi inakuwa haieleweki
lakini mkuu maisha ni magumu chupi nzuri ya kike ni 5000 kwenda juu
wanawake wengi hawamudu ila heri wakae tu uchi kuliko kuvaa magonjwa.kwani chupi ina kazi gani kwanza ?
ni za nini best watu wanavaa hadi usiku wamelala jamani?dah!kiukweli hii ni hatari sana,
ila mungu mkubwa kwan enzi hizo tukiwa huko kijijin na utoto ndio kabisa tunavaa hata lebo hatutoi mungu akatuepusha,
ila sasa hata wamama na wadada wenye watoto wawe wanazifua hizo chupi kabla ya kuwavisha,
asante mtoa mada kwa kutukumbusha.
Hahahaha!ni za nini best watu wanavaa hadi usiku wamelala jamani?
mmh hii ni hatari kubwa, ss ni mitumba tu au hata za dukani jaman??
embu nisaidiwe hapo.
loh kumbee jaman mmmh masikin wee.Obsesd,
Unakuta hizi nyingine zilikuwa vidhibiti mahakamani huko majuu, labda marehemu aliuwawa au alikufa mazingira ya kutatanisha si unajua huwa hazipigwi soap soap hadi kieleweke? sasa zinatua tu mbongo anavaa fasta ana enda out.
mmh hii ni hatari kubwa, ss ni mitumba tu au hata za dukani jaman??
embu nisaidiwe hapo.
loh kumbee jaman mmmh masikin wee.
tutapona kwelii mmh??
yan huruma kweli kwa wanaovaa mtumba jaman tena underwear mmh, hawa wanatakiwa waziloweke iz na maji ya moto sijui yan hata sielewi mmh.