Washaanza kutafuta Promo kupitia wimbo mpya wa Diamond

Washaanza kutafuta Promo kupitia wimbo mpya wa Diamond

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,668
Kuna underground kutoka Iringa anahojiwa sahivi na Mchomvu, anasema huwa anawasiliana na Diamond, kila akitaka kutoa wimbo anamtumia 'brother' aijaji kama inahitaji marekebisho, then akashangaa kuona Diamond katoa wimbo kama wake 'NASEMA NAO'. Clouds wameupiga ni kweli unafananafanana but isije ikawa ameurekodi baada ya kuwa Nasema Nao ushatoka then anasingizia aliurekodi kabla, doh!
 
Diamond alisema redioni amekaa na wimbo huo na alitaka wapa shilole na mtu mwingine msichana wauimbe wakawa hawana interest nao hata mameneja wao...later akaamua ngoja autoe yeye so siku anauachia you tube aliamua mwenyewe akaenda urusha then akawaambia timu yake kuwa ameshaurusha na promo etc baadae kama alivyofanya...

Unaitwa nasema nawe.

Watakuwa labda walipata fununu wakaja kuamua kuuiga kabla hajatoa wake
 
Wapumbavu saana haoo madogo, na hawata fanikiwa na huo wimbo
 
Huyu dogo alishawai kutoa wimbo unaitwa Diamond, anamsifia Dai wimbo mzima. Naona kaamua akomae afanye Dai ndio mtoko.
 
dogo amekataa kwamba diamond kakopy ila amesema watu ndo wanamwambia melody zinafanana, alichosema yeye ni kawaida idea kufanana, ila ukizisikiliza hizo nyimbo ata hazifanani sema ndo ivo maneno ya watu..
 
Huyu dogo alishawai kutoa wimbo unaitwa Diamond, anamsifia Dai wimbo mzima. Naona kaamua akomae afanye Dai ndio mtoko.
Kama ndo huyo dogo basi anatafuta jina tu,kwanza alitoa wimbo unaitwa diamond,sasa kama ndo yeye tena anadai kachukuliwa wimbo wake basi ni mwehu tu,angekuwa mwingine tungejiuliza.
 
Huyu dogo alishawai kutoa wimbo unaitwa Diamond, anamsifia Dai wimbo mzima. Naona kaamua akomae afanye Dai ndio mtoko.

Ndio yule dogo aliyokuwa anaimba kama Diamond?Huyu Dogo ana tafuta kick sasa
 
@ Viol @ Ruttashobolwa ndio huyo huyo.

Huyu dogo hana shukrani yani ana kubali kutumika kumchafua diamond...! Kwanini hakusema pale ulipotoka ana subiri hadi leo?
 
Sikutegemea yeye kufanya jambo hili.

Kwa music ilivyo hivi sasa ukisikia mtu anatafuta kick kwa njia yoyote usishangae... Muziki umekuwa mgumu sana kutoka imekuwa sio ishu rahisi wasanii wakubwa tupu wanachanganyikiwa itakuwa awa madogo.
 
Kwa music ilivyo hivi sasa ukisikia mtu anatafuta kick kwa njia yoyote usishangae... Muziki umekuwa mgumu sana kutoka imekuwa sio ishu rahisi wasanii wakubwa tupu wanachanganyikiwa itakuwa awa madogo.

Huyu Dogo naye kakosea target alitakiwa kusema siku ilipo toka video..sasa anasema leo hata kichaa anajua alikuwa ana jipanga..halafu kibaya zaidi huyu Dogo ana tumia sauti ya Diamond..ni aibu
 
Huyu Dogo naye kakosea target alitakiwa kusema siku ilipo toka video..sasa anasema leo hata kichaa anajua alikuwa ana jipanga..halafu kibaya zaidi huyu Dogo ana tumia sauti ya Diamond..ni aibu

Kachemka sana bado hana impact ya kuvuruga draft la msanii level za Diamond... Nafikiri ndio mwisho wake huu.
 
Back
Top Bottom