Dupe
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 1,668
- 811
Naama wadau tayar time yetu Dar Young Africa washatangaza ubingwa leo baada ya kumchapa Polisi Morogoro bao 4-1
^^CHELSEA ^^
Bado mshabiki kama mm nina kiu ya ubingwa kwa timu yangu pale uingereza CHELSEA bado mechi 2 yaani ponti sita tu kutawazwa, (kama nimekosea ruksa kuweka sawa)
No. Team Match Pts
1 Chelsea 33 77
2 Manchester City 34 67
3 Arsenal 33 67
FC BARCELONA
Tunarataraji ubingwa pia kwan ligi tunaongoza huku shauku bado ikiwa UEFA- COPA DELAY- LIGA BBVA tukichuana
^^CHELSEA ^^
Bado mshabiki kama mm nina kiu ya ubingwa kwa timu yangu pale uingereza CHELSEA bado mechi 2 yaani ponti sita tu kutawazwa, (kama nimekosea ruksa kuweka sawa)
No. Team Match Pts
1 Chelsea 33 77
2 Manchester City 34 67
3 Arsenal 33 67
FC BARCELONA
Tunarataraji ubingwa pia kwan ligi tunaongoza huku shauku bado ikiwa UEFA- COPA DELAY- LIGA BBVA tukichuana