Washambuliaji raia wa kigeni wanaosajiliwa Simba wanapatwa na nini hadi wanaonekana wa mchongo

Washambuliaji raia wa kigeni wanaosajiliwa Simba wanapatwa na nini hadi wanaonekana wa mchongo

Nimekuwa nikifuatilia sana washambuliaji wengi wanaosajiliwa simba wakitokea nje ya Tanzania kushindwa kuonyesha makali wakati huko walikotoka walikuwa moto.

Mfano ni huyu mzungu aitwae Dejan, huyu jamaa kabla hajasajiliwa simba alikuwa anakiwasha sana, kumzuia Dejan ilihitaji akili ya ziada, ana nguvu, mashuti na spidi.Dejan anafunga popote.

Alipoletwa Simba akawa kichekesho.

Leo Dejan ana moto sio wa kawaida ligi ya Serbia.

Anafunga mabao ya hatari mno.

Mwingine ni Pa Omary Jobe.

Jobe kwa sasa sio kichekesho tu ni kituko ch mwaka.

Lakini kabla hajaja Simba rekodi zake ni za moto mno.

Mwanaume huyu amecheza ligi mbalimbali lkn hap bongo amefeli.

Wapo wengi lkn nmeanza na hawa, kuna mchezo wanafanyiw hawa
Acha uongo Basi Dejan alikuwa wa Moto ligi gani ?

Takwimu za Jobe kwenye timu ipi za msimu you ?

Mbona huwazungumzii Emanuel Okwi, Meddie Kagere na Mugalu ?
 
Kwa mtazamo wako, huyu samaki wa Simba kaaza kuoza wapi?
1.Bichwa,(mfadhili na viongozi).2.mashabiki, 3.wachezaji. Swali fikirishi kwanini mashabiki hawana sauti? Je wanajua kama hawana sauti, mimi nasemaz hawana sauti na Ndiyo maana hawana furaha
 
Naweza kusema kwa vipindi vya hivi karibuni ambapo Simba alichukua ubingwa wa Tanzania Bara walikuwa hawashindi kwa njia halali bali kwa rushwa kwa kuwaonga baafhi ya viongozi, wachezaji na makocha wa tmu pinzani na pia wasimamizi wa mechi.

Haiwezekani timu kama ni bora ikachukua ubingwa kwa njia halali alafu ikauza wachezaji wawili ambao ni Chama na Luis wakashindwa kufanya vizuri kwenye timu zikizowasajili hii moja kwa moja inaleta timu haikushinda kwa njia halali.

Nakumbuka wakati huo kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu Simba ila waandishi wetu wa habari walikuwa kimya kuongelea ili inawezakana labda kwa mapenzi yao na Simba ama walipewa kitu kidogo!

WENYE AKILI NDOGO WATAPINGA MAWAZO YANGU!
Kwa hiyo Simba waliwahonga Al-Ahly Miquison akafunga goli? Miquison alisajiliwa na Ahly baada ya kuwasumbua na kufunga goli club bingwa Africa
 
1.Bichwa,(mfadhili na viongozi).2.mashabiki, 3.wachezaji. Swali fikirishi kwanini mashabiki hawana sauti? Je wanajua kama hawana sauti, mimi nasemaz hawana sauti na Ndiyo maana hawana furaha
Sure
 
Back
Top Bottom