Washambuliaji wa kitanzania wanapaswa kujifunza kwa Mayele

Inaonyesha Bange ulianza kuvuta ukubwani
 
Wacha wajipe moyo yani huyo mayele hana lolote semaaa ndo hivyo washamchukua na walishampamba sana kabla hata ya mechi mbili sasa ndo wanaona utopolo wake muda huu ..
 
Wacha wajipe moyo yani huyo mayele hana lolote semaaa ndo hivyo washamchukua na walishampamba sana kabla hata ya mechi mbili sasa ndo wanaona utopolo wake muda huu ..
Mayele ni mtu mmoja ambaye anapenda kucheza na jukwaa, inaonekana zile sifa alizopewa baada ya kuifunga simba zilimlevya

Mpira wa janawaliocheza yanga hata angeingia peter msechu ange ng'aa , wale madogo ni wachanga sana kiufupi wamezidiwa hata na ken gold ya chunya
 

Kama kipimo cha Mayele ni ufungaji wa timu za kombe la Mbuzi sawa . Lakini Trust me mayele hana kiwango anachopaishwa. Utakuja kuona mkicheza shirikisho au champion league .

Ile timu wa watoto ya Somalia tu, alishindwa kuwafunga ..... naomba kusemba mayele ni kama Mwanajeshi ambae hajawahi kupigana vita hata siku moja , maana yake ni Inactive soldier
 
Naomba jumlisha idadi ya boko boko, na Wenzie kama wanamfikia..

Eti trust me kolo wewe utatuambia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…