kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Mimi mtu akiniuliza kati ya Kambole na Mayele; Who is the best Striker (Mshambuliaji bora)? Kwangu mimi nitasema Kambole ni bora kuliko Mayele
Kama una angalia video za nyuma kabisa za huyu Kambole yaani video ambazo kipindi yupo Zesco, huyu bwana alikuwa atari saana
Na alivyo kwenda South sio kwamba kiwango chake kilishuka, hapana inaonekana huyu walimuona wa kawaida sana mpaka wakapoteza confidence yake
Yanga wakitumia fursa hii vizuri kumtengeneza huyu bwana vizuri hakika watakuwa na mchezaji mzuri saana na inawezekana akarudi kwenye ubora wake
Kwanini na sema Kambole ni bora kuliko Mayele? Kambole ana jua how to shoot mpira kwa hiyo Kambole anaweza kukufunga hata nje ya inbox
Kitu ambacho Mayele hawezi kama ulikuwa una fuatilia mpira vizuri si dhani kama kuna goal Mayele aliwahi kufunga akiwa outbox goli zake nyingi amefunga akiwa inbox
Kambole wa Zesco alikuwa na umakini wakufunga saana. Kitu ambacho kwangu naona Mayele ana umakini mdogo saana. Kama ulikuwa una cheki vizuri mpira magoli mengi ya Mayele yalikuwa mipira ya kukutana nayo mfano ukipiga assist ana kimbilia kufunga
Lakini Mayele ukimpa mpira azuie alafu afunge mipira hiyo Mayele alikuwa ana shindwa saana na kama aliwahi kufunga goli hizo ni ndogo saana
Kama una angalia video za nyuma kabisa za huyu Kambole yaani video ambazo kipindi yupo Zesco, huyu bwana alikuwa atari saana
Na alivyo kwenda South sio kwamba kiwango chake kilishuka, hapana inaonekana huyu walimuona wa kawaida sana mpaka wakapoteza confidence yake
Yanga wakitumia fursa hii vizuri kumtengeneza huyu bwana vizuri hakika watakuwa na mchezaji mzuri saana na inawezekana akarudi kwenye ubora wake
Kwanini na sema Kambole ni bora kuliko Mayele? Kambole ana jua how to shoot mpira kwa hiyo Kambole anaweza kukufunga hata nje ya inbox
Kitu ambacho Mayele hawezi kama ulikuwa una fuatilia mpira vizuri si dhani kama kuna goal Mayele aliwahi kufunga akiwa outbox goli zake nyingi amefunga akiwa inbox
Kambole wa Zesco alikuwa na umakini wakufunga saana. Kitu ambacho kwangu naona Mayele ana umakini mdogo saana. Kama ulikuwa una cheki vizuri mpira magoli mengi ya Mayele yalikuwa mipira ya kukutana nayo mfano ukipiga assist ana kimbilia kufunga
Lakini Mayele ukimpa mpira azuie alafu afunge mipira hiyo Mayele alikuwa ana shindwa saana na kama aliwahi kufunga goli hizo ni ndogo saana