Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hebu iweke simu charging bhana. Inawezekana umefungiwa sababu betri imeisha chargeKuna watu tupo pamoja au ndo nimeanziwa mimi... Mtandao wangu ni voda..Si nilisikia shoo inaanza tarehe ishirini...?View attachment 1325862
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaa haa pole Mkuu! Kasajili kwa alama za vidole km una kitambulisho cha NIDA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu iweke simu charging bhana. Inawezekana umefungiwa sababu betri imeisha charge
kama hauna namba ya nida tumia cha mtu wako wa karibu akakusajilie
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wamekuanzishia mapema hivyo. Mimi kuna line ya voda na ipo fresh tu
Sasa kama wamekula kichwa mbona unaitumia kuperuzi hapa JF. Au wanazima kupiga simu na kutuma SMS pekee?
Hapa ninatumia Airtel laini 2...lain 1 ambayo ni voda ndo hivyo hata nikiwasha data haifanyi kazi... Ila mtandao unasoma kama kawaidaSasa kama wamekula kichwa mbona unaitumia kuperuzi hapa JF. Au wanazima kupiga simu na kutuma SMS pekee?
Pole MkuuSijapata bado...kuna jamaa yangu hadi leo hajapata anasema anasubir wafunge... Yeye yupo hewani ila mi ndo hivyo sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nan huyo?Sasa mkuu mbona unaweka number ya Kyatika hadharani?
Pole sana mtanzania mwenzangu. Vipi hiyo Airtel ushaisajili?Hapa ninatumia Airtel laini 2...lain 1 ambayo ni voda ndo hivyo hata nikiwasha data haifanyi kazi... Ila mtandao unasoma kama kawaida
Hata namba ya NIDA sinaPole sana mtanzania mwenzangu. Vipi hiyo Airtel ushaisajili?