Washauri wa Mbowe ni wendawazimu? Mbona hawakumshauri astaafu uenyekiti ili kulinda heshima yake?

Washauri wa Mbowe ni wendawazimu? Mbona hawakumshauri astaafu uenyekiti ili kulinda heshima yake?

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Mbowe anasemwa kwa maneno yote, kutoka kuheshimika kwa wasomi na wasio wasomi, sasa anadharaulika mpaka kwa wanafunzi wa primary school huko

Si muige hata kwa wachaza mpira? Mchaza mpira ikifika pahala akaona kipaji chake ni kama kimeanza kushuka kwa kutumika miaka mingi, hustaafu kucheza na si kwamba ndio kashindwa kabisa kucheza, la, bali anatunza heshima yake

Kwa Mh. Mbowe, huwenda akadharauliwa mpaka na kaya yakwe!

Washauri wa Mbowe mko wapi? Mbona mnamtia aibu mwenyekiti mpendwa wetu wa zamani?

Mitandao yote imechafukwa kumsema Mbowe bado mpo mpo tu na hammumwambii ukweli

Ama kweli siku ya kufa nyani, miti yote huteleza
 
Respect is earned not advised.

Sio kila mtu anachukua dharau lightly...

Huyo dogo wako ndio amepungukiwa busara.

Hivi lile koti la Risas amelirudisha alikolitoa?
 
Kuna msema unasema dancer mzuri siku zote hutambua wakati sahihi wa kuondoka kwenye jukwaa
 
Mbowe anasemwa kwa maneno yote, kutoka kuheshimika kwa wasomi na wasio wasomi, sasa anadharaulika mpaka kwa wanafunzi wa primary school huko

Si muige hata kwa wachaza mpira? Mchaza mpira ikifika pahala akaona kipaji chake ni kama kimeanza kushuka kwa kutumika miaka mingi, hustaafu kucheza na si kwamba ndio kashindwa kabisa kucheza, la, bali anatunza heshima yake

Kwa Mh. Mbowe, huwenda akadharauliwa mpaka na kaya yakwe!

Washauri wa Mbowe mko wapi? Mbona mnamtia aibu mwenyekiti mpendwa wetu wa zamani?

Mitandao yote imechafukwa kumsema Mbowe bado mpo mpo tu na hammumwambii ukweli

Ama kweli siku ya kufa nyani, miti yote huteleza


Mbowe angekosa pesa angekua ni kati ya watu wapumbavu kuwahi kutokea Duniani .
Pesa ndizi zinampa heshima lakini Mbowe ni mtu wa hovyo sana .
Akilewa Konyagi ndio anakua chizi kabisa.
Mermermerae!!!😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom