Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
It's trueTunawashauri wenza wanaopanda mlima Kilimanjaro wasifanye tendo la ndoa /ngono Mlimani. Kwa sababu ukifika kule utaelewa, supply ya oxygen ni ndogo ndani ya mwili na demand tayari ni kubwa. Ile demand ya kawaida ya mwili tu hujaifikia kwahiyo ukiongeza demand kwenye saizi hizo inakuwa ni shida balaa kubwa linaweza likaja kwako kwako mwanaume kuliko mwanamke. Wagonjwa wengi tunaowapata wengi ni wanaume kuliko wanawake" Hussein Abradha - Mkurugenzi Kili med air
Kuna uzi humu wa muda kidogo ulikuwa unaeleza kuhusu sehemu hatarishi na za kushangaza/kuchekesha watu walizowahi kula matunda yao kimasihara ni vituko vitupu.Babu ngono tamu huwa inafanywa mahali hatarishi , hata ukiiba mke wa mtu mkajibana kichakani huwa anakua mtamu mno.
Kufanya ngona juu ya mlima mrefu kama Kilimanjaro ni kujitafutia kifoBabu ngono tamu huwa inafanywa mahali hatarishi , hata ukiiba mke wa mtu mkajibana kichakani huwa anakua mtamu mno.
Mkuu kuna watu wana mapafu ya mbwa .Kufanya ngona juu ya mlima mrefu kama Kilimanjaro ni kujitafutia kifo
Hata kama wanakuwa na hamu zilizopitiliza,wameelezwa kwamba kiafya ni hatari.Pia wanavunja sheria kwa kufanya ngono hadharani.Naamini kule mlimani hakuna hifadhi/nyumba/vyumba zaidi ya mahema madogomadogo tu ambayo hayatoi faragha ya kutosha.Tusilaumu tu na kuwaona watu hawako sawa kwa matendo yao huko mlimani... Huenda hali ya hewa ya baridi kali kule juu ndo inawapelekea kufanya hivyo wakidhani watapata nafuu au jotoridi la mwili litakaa sawa.
Tufikiri kabla ya kuhukumu kwa kutumia kauli ndugu watanzania wenzangu.
Kibaolojia ni kosa kubwaMkuu kuna watu wana mapafu ya mbwa .
Ngono za kiwizi wizi huwa ni tamu hatari , na ndio sababu kuu ya uchepukaji .Kuna uzi humu wa muda kidogo ulikuwa unaeleza kuhusu sehemu hatarishi na za kushangaza/kuchekesha watu walizowahi kula matunda yao kimasihara ni vituko vitupu.
Bin-Adam tuna kasumba sana! Nafkiri humohumo kwenye mahema haja zinatekelezeka.Hata kama wanakuwa na hamu zilizopitiliza,wameelezwa kwamba kiafya ni hatari.Pia wanavunja sheria kwa kufanya ngono hadharani.Naamini kule mlimani hakuna hifadhi/nyumba/vyumba zaidi ya mahema madogomadogo tu ambayo hayatoi faragha ya kutosha.
π π π π Watu mnaroho ngumu sanaNgono za kiwizi wizi huwa ni tamu hatari , na ndio sababu kuu ya uchepukaji .
Mimi kuna mtoto mmoja wa mjeshi nilisha mchakata ndani kwao baba yake akaja nikabana chumbani kwa binti mpka usiku wa manane , kiukweli mpaka leo sikuwahi pata utam kama ule.
Ungebambwa baba mkwe angekutwanga mikanda ya mgongo hadi uimbe kikwenu.πNgono za kiwizi wizi huwa ni tamu hatari , na ndio sababu kuu ya uchepukaji .
Mimi kuna mtoto mmoja wa mjeshi nilisha mchakata ndani kwao baba yake akaja nikabana chumbani kwa binti mpka usiku wa manane , kiukweli mpaka leo sikuwahi pata utam kama ule.
Jiulize inatokeaga japo sio mara zote na kwa wote, pale mtu anapopanda mlima akifika juu huwa anatokwa na dam puani au hata masikioni? Kitaalam hii condition inaitwa oozingMyth
Mjeda asingeishia hapoUngebambwa baba mkwe angekutwanga mikanda ya mgongo hadi uimbe kikwenu.π
Yaah ni ukweli kabisa..Jiulize inatokeaga japo sio mara zote na kwa wote, pale mtu anapopanda mlima akifika juu huwa anatokwa na dam puani au hata masikioni? Kitaalam hii condition inaitwa oozing
Wabishi sana.Kikao hakifungwi hadi agenda ya kuchakatana iwekwe mezani?Hatari sana.Kama kuna barafu si ndiyo watatoka makalio ya baridiii halafu yamepauka kama wameyapakaa majivu.Bin-Adam tuna kasumba sana! Nafkiri humohumo kwenye mahema haja zinatekelezeka.
Nipe namba ya watsap nikutumie nots kabisa maana vichwa vingine ni vigumuYaah ni ukweli kabisa..
Ila sababu za kufanya mapenzi au kutokufanya bado haziingii akilini
Mkuu hatua ya kufanya mapenzi.. inakua ni last option.Nipe namba ya watsap nikutumie nots kabisa maana vichwa vingine ni vigumu
Unakuta mtoto ni maini hatari, then kuna ushindani wa hatari apo upo shule ya boys tupu , ukipata nafasi lazima ulazimishe mkuu.π π π π Watu mnaroho ngumu sana