Washika kamera Azam U20 Kaitaba badilikeni

Washika kamera Azam U20 Kaitaba badilikeni

Rweye

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,057
Reaction score
7,611
Navyojua Azam mna mitambo mizuri, mikubwa na ya kisasa sana ila mnavyorusha mpira kule kaitaba mnaboa sana. Kamera haitembezwi kiwanja kizima, mda wote kamera iko na mpira masaa yote, hakuna kuona nje ya uwanja wala mabenchi ya ufundi.

Hakuna picha za kuchukua pitch toka juu wala utundu utundu wa kuchukua picha, ni full kuchoshwa tu na jinsi mnavyorusha picha zenu. Mnakuwa kama kamera zimefungiwa kwenye mti kwamba haiwezi kujigeuza yenyewe

Mitambo yenu ya kisasa sana ina kuwa haitumiwi na utility yake iko chini below standards ...mnapresent substandard kabisa
 
Back
Top Bottom