Washikaji tusome tuache kudeka, huyu muhadhiri tumemuonea

Nimeskitishwa sana kama kweli basi nyie ni vilaza wa mwisho,NICAS ni jembe tulio maliza BBA 2011 tunalijua hilo. Pili he was my supervisor on my research. Madogo pigine shule sio kuchukia walimi wenu bila sababu. Uongoz wa SAUT huwa unawasikilizasana wanafunzi so dont take it as loop
 

imeniuma sana, kwa sababu hamjajua kwamba maisha ni magumu, kupata kazi ni ngumu, kwa style hii daah! mnawafukuzisha kazi walimu wenu kwa nn? chukulieni angekuwa kaka yenu mngefanyaje? ajira hakuna mnawaachisha wenye ajira, haya karibuni mtaani...Mizinga haikubaliki hapa bongo
 
Huo ndo ufedhuri ambao unalirudisha hata taifa letu nyuma. Tatizo lililopo ni wanavyuo wengi kupenda kufauru bila kusoma na wengi wao ni wale wanaokariri na kwenda kutapika kwenye paper. Akipigwa technical question tu basi chini halali kwake.

Kumfanyia fitina Mhadhiri ni uchuro..... KUENI muwe binadamu hapo baadaye....
 
Mkuu samahani unajua awali sikuelewa ujumbe wako, kumbe ulikuwa unapeleka ujumbe kwa wale wanaolaumu NECTA bila kufahamu undani wa matatizo.

Naomba nipokee taarifa na ninaipokea kama ilivyo. Tuko pamoja mkuu Bob Lee Swagger
 
Wewe utakua LAW au PR.. Mnafanya chuo chenu,..!! Mbona faculty zingine hamna mambo ya hivi?
 
ngoja mje mtaani ndo mtajua upuuz mliokuwa mnaufanya.. hakuna Kitima huku, kama ni mburula ndo ivo tena., jitaidini vjana huku mtaani hakuna wa kumchongea, labda kama mnasomea BED COMMERCE. ndio haina tatzo.. ila mchelea mwana kulia hulia yeye(mpe DR.kitima hu ujumbe)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…