WASHINDI TUNZO MIAKA 10 YA JF

Sasa dadaYangu Faizafoxy amekuwa kweli mnafiki ?
Mh Jecha hii mechi lazima irudiwe.
 
Sasa dadaYangu Faizafoxy amekuwa kweli mnafiki ?
Mh Jecha hii mechi lazima irudiwe.
Kapewa ushindi na wapiga kura
Ushindi ni ushindi tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
huo ubin wako ndo umesogeza mbele ushindi wangu kwenye category ya da best underground member.
 
Haa! Uchaguzi urudiwe wengine hatukuwepo[emoji12]
Niliona wapiga kura hawapo kituoni hivyo nimefanya Ujecha kutangaza washindi sababu watu walishaanza kulialia wanataka matokeo yatangazwe

Piga kura category ambazo haina washindi......
 
NO. 17, MEMBER MBUMBUMBU/KILAZA, UMEMKOSAJE MSHINDI?! HIYO TUZO IENDE KWA K 4 LIFE!. HALAFU KUTOKUMJUMUISHA MWANAKIJIJI KAMA MEMBER WA KITAMBO ALIEKUWA CHACHU YA SIASA ZA MABADILIKO MWISHONI CCM WAKAMKENGEUSHA! KAMA DR SLAA SI SAWA!
 
Ugawaji tuzo haukua huru na haki!!
17. na 16 ni mheshimiwa Lukelo sakafu na simuoni hapo
 
Ugawaji tuzo haukua huru na haki!!
17. na 16 ni mheshimiwa Lukelo sakafu na simuoni hapo
Wamelingana kura vipengele hivyo vya "hakuna mhindi",,,,, Post yako hii ni sawa na kumpa kura ya ushindi so imemuongezea point / ushindi.....kashinda

Sawa kacheki..upya
 
NO. 17, MEMBER MBUMBUMBU/KILAZA, UMEMKOSAJE MSHINDI?! HIYO TUZO IENDE KWA K 4 LIFE!. HALAFU KUTOKUMJUMUISHA MWANAKIJIJI KAMA MEMBER WA KITAMBO ALIEKUWA CHACHU YA SIASA ZA MABADILIKO MWISHONI CCM WAKAMKENGEUSHA! KAMA DR SLAA
Kura bado haijatosha
 
Hii demokrasia iliotumika hapa Ni ya Burundi au lile la Nepi Nauye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…