Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Kazitunayo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
3,782
Reaction score
3,199
Wengine tuko mkoa, zimeendaje nimesikia tu watu wanasema Millard, Salim Kikeke, Ladyjdee, Alikiba, Wema wamekinukisha vipi uko ni kweli?

Mwanamuziki wa kiume anaependwa - ALI SALEHE KIBA.

Mwanamuziki wa Kike anaependwa - AY DEE

Muigizaji wa kiume anaependwa - HEMED SULEIMAN

Muigizaji wa Kike anaependwa - WEMA SEPETU

Muongozaji wa Filamu anaependwa - VICENT KIGOSI 'RAY'

Director wa muziki anaependwa - HANSCANA

Mtangazaji wa runinga anaependwa - SALIM KIKEKE (BBC SWAHILI)

Mtangazaji wa Radio anaependwa - DJARO ARUNGU (TBC FM)

Kipindi cha radio kinachopendwa - PAPASO (TBC FM)

Tovuti/Blogu inayopendwa - MILLARDAYO.COM

TUZO HIZI HUTOLEWA KUTOKANA NA IDADI YA KURA ZINAZOPIGWA NA MASHABIKI.
 
magumash tu hakuna lolote tuzo wanapeana kama machungwa
 
Mwanamuziki wa kiume anaependwa:: ALI SALEHE KIBA.

Mwanamuziki wa Kike anaependwa::JAY DEE

Muigizaji wa kiume anaependwa::HEMED SULEIMAN

Muigizaji wa Kike anaependwa::WEMA SEPETU

Muongozaji wa Filamu anaependwa::VICENT KIGOSI 'RAY'

Director wa muziki anaependwa::HANSCANA

Mtangazaji wa runinga anaependwa::SALIM KIKEKE(BBC SWAHILI)

Mtangazaji wa Radio anaependwa:😀JARO ARUNGU(TBC FM)

Kipindi cha radio kinachopendwa:😛APASO(TBC FM)

Tovuti/Blogu inayopendwa::MILLARDAYO.COM




TUZO HIZI HUTOLEWA KUTOKANA NA IDADI YA KURA ZINAZOPIGWA NA MASHABIKI.
 
Mwanamuziki wa kiume anaependwa:: ALI SALEHE KIBA.

Mwanamuziki wa Kike anaependwa::JAY DEE

Muigizaji wa kiume anaependwa::HEMED SULEIMAN

Muigizaji wa Kike anaependwa::WEMA SEPETU

Muongozaji wa Filamu anaependwa::VICENT KIGOSI 'RAY'

Director wa muziki anaependwa::HANSCANA

Mtangazaji wa runinga anaependwa::SALIM KIKEKE(BBC SWAHILI)

Mtangazaji wa Radio anaependwa:😀JARO ARUNGU(TBC FM)

Kipindi cha radio kinachopendwa:😛APASO(TBC FM)

Tovuti/Blogu inayopendwa::MILLARDAYO.COM




TUZO HIZI HUTOLEWA KUTOKANA NA IDADI YA KURA ZINAZOPIGWA NA MASHABIKI.

Duuuhh😳😳😳😳
 
duh kiba ashukuru alifanyiwa kampeni kubwa sana na watu wanaokosa usingizi na diamond, hasa hasa w..... maanaa
 
Hivi Wema kaigiza filamu zipi mwakahuu na mwakajana?
 
Jamani wa kipindi cha papaso walijitahidi sana hongera DIJARO ARUNGU
 
Hizi tuzo mfumo wake wa kupiga kura kwamba mtu mmoja anaweza kupiga kura mara zaidi ya moja...
Sasa unaposema kwamba ni tuzo za watu, alafu kwamba mtu mmoja anaweza kupiga kura hata mara mia moja..haireflect kwamba huyu mtu anapendwa na watu wengi zaidi.. kwa msingi huo bhasi matokeo yake haya reflect ukweli kwamba msaniii fulani anapendwa na watu wengi..ila huenda akawa anapendwa na watu wachache ila wamepiga kura mara ningi zaidi....

Kwa msingi huo tuzo za watu hazina validity kwa msingi kwamba ni tuzo ambazo anapigiwa kura msanii, na msanii anaeshinda kwamba ni anapendwa zaidi na watu wengi zaidi...

My TAKE..
Next time waandaaji wanatakiwa waangalie njia nzuri ambayo watu watapiga kura pasipo kurudia ili kupata valid namba ya idadi ya mashabik wanaompenda msanii........

Lastly napenda kuwapongeza wasanii pamoja na watangazaji walio shindaa

Kiba for real

Wema

Kikekeee

Millad ayo

Jdeeee

N.b kwa walio shindwa wajipange upyaa
 
Hivi Wema kaigiza filamu zipi mwakahuu na mwakajana?

Hakuna muvi yake yoyote iliyotoka na kusikika maana angekuwa anaitangaza hata ktk page yake instagram au fb nadhani. Ila wadau wajuao watakujibu kama ipo maana ni tuzo za 2014 na waliandika lazima iwe kwa mwaka 2014 tu.

Tuzo za watu hazina mvuto wangeziita tuzobza mashabiki, maana wengine wanaoshinda wanakaa wanajijua hakuna kazi waliyofanya kustahili tuzo hiyo.

So ndani ya mioyo yao ni kilio wakijua hakuna la kuonyeshea bali ni basi tu, ndio Tanzania hiyo kupotoshana mwisho wa siku nadhani wengi wanajua bidii na matunda yanaonekana.
 
Djaro Arungu over Millard Ayo? Duh siamini

Unajua Nini, tunashindwa kutofautisha, hizi ni kura za watu ila kiuhalisiaa kipind cha djaro arangu kinasikilizwa na watu wengi Sana huko Mikoani na zile fimbo zake na maswali yake, pia nahisi ndio mtangzaji anaependwa mno huko mikoanii.
 
Wema ameigiza movies gani hadi apendwe au ni tuzo za mtu anaeandikwa sana na Shigongo.

Hivi leo ukiitisha show kati ya kiba na Diamond mkoa wowote Tanzania nani atajaza ukumbi.

hizi tuzo ndio zinazomfanya Diamond zaidi kuwa juu na ajitume zaidi.

Juzi Diamond kafunika London wakati wengine hupigia show kwenye sebule za wabongo huko majuu

Jana kapokelewa kama Mfalme Mwanza, na Bado Mond atazidi kuwacharaza bakora tu
 
Back
Top Bottom