Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Hakuna muvi yake yoyote iliyotoka na kusikika maana angekuwa anaitangaza hata ktk page yake instagram au fb nadhani. Ila wadau wajuao watakujibu kama ipo maana ni tuzo za 2014 na waliandika lazima iwe kwa mwaka 2014 tu.

Tuzo za watu hazina mvuto wangeziita tuzobza mashabiki, maana wengine wanaoshinda wanakaa wanajijua hakuna kazi waliyofanya kustahili tuzo hiyo.

So ndani ya mioyo yao ni kilio wakijua hakuna la kuonyeshea bali ni basi tu, ndio Tanzania hiyo kupotoshana mwisho wa siku nadhani wengi wanajua bidii na matunda yanaonekana.

Hivi nyie kila tuzo zimekuwa mbaya kwenu, Tuzo za watu hazifai, KTMA hazifai, BET hazifai hahahhaha basi tunawashauri anzisheni tuzo zenu ili mpeane huko kwenu kama tuzo za H baba
 
Hakuna tuzo hapo ni ujanja ujanja.. Tangu walipozitoa video za Mdogo Mdogo na Ntampata Wapi eti kwa kigezo zimefanyiwa South Africa nikazitoa maana hizi tuzo... Kama unakataa kuishindanisha video kwa kuwa imefanyiwa nje ya nchi, inakuwaje unamshindanisha Mtangazaji anaefanyia kazi yake kituo cha nje ya nchi na wa ndani ??.

Eti papaso ndio kipindi kinachopendwa duh.. Mtu ajawai kucheza movie ata moja ndani ya mwaka 2014 ila anakuwa muigizaji bora wa kike mwaka 2014.

Matumbo punguza ushabiki, hakuna category ya muigizaji bora wa kike bali muigizaji anayependwa zaidi wa kike, watanzania tumieni akili kuchambua mambo.
 
Team daimond mmepanick nini???

Muwe mnapiga kura

Kupokeleqa na utitiri wa watu hakusaidii kama hampigi kura

Hata mjaze uwanja wa taifa kama hampigi kura haina maana
 
Wambili havai moja Diamond keep calm wangap wamepeta tuzo na wamepotea
kiba hongera sana hope utatoa video sasa
 
Matumbo punguza ushabiki, hakuna category ya muigizaji bora wa kike bali muigizaji anayependwa zaidi wa kike, watanzania tumieni akili kuchambua mambo.

Mimi naongea facts.. Mwigizaji anapendwa vipi bila kuwa na movie? Ebu tueleze amependwa baada ya kucheza movie gani 2014?.. Acheni hizi fitina kama hamziwezi mtaumbuka tu siku moja.
 
Mimi naongea facts.. Mwigizaji anapendwa vipi bila kuwa na movie? Ebu tueleze amependwa baada ya kucheza movie gani 2014?.. Acheni hizi fitina kama hamziwezi mtaumbuka tu siku moja.

Muulize Boss wako Diamond alikuwa anampendea nini Wema? Na followers wa Wema wanampendea nini? Hivi mpaka mashabiki wake wameanzisha Team Wema bado unamuona hana influence kwa watu anaofanana nao akili?
 
Nadhani wameruhusu line moja ya sim kupiga kura nyingi zaidi ili waongeze mapato. Yaani walikuwa kibiashara zaidi ila kama lengo lilikuwa nibkumpata msanii anaekubaliki zaidi mtu mmoja angepewa nafasi moja tu.
 
Watu wangu asanteni sana kwa wooote
walionipigia kura yani, Kati ya zile 3 tumeshinda
hii moja ya tovuti/blog inayopendwa ambayo ni
millardayo.com asanteni sana na kura zote
mlizopiga.

DAH. millardayo ali deserve more,,pia anajua kutoa shukran
 
Kwa mfano na uchaguzi mkuu nec wangeruhusu shahada moja ipige kura mara nyingi iwezavyo tungekuwa na viongizi hawa? Ingekuwa fare?
 
Mimi naongea facts.. Mwigizaji anapendwa vipi bila kuwa na movie? Ebu tueleze amependwa baada ya kucheza movie gani 2014?.. Acheni hizi fitina kama hamziwezi mtaumbuka tu siku moja.

Mkuu naona kwako somo limekuwa gumu, Enewei hata hivyo si mlisema tuzo za ndani ni too local hivyo mnaachia wasanii wasijioweza nyie mnakomaa na tuzo za kimataifa kama BET, channel O, sasa ya nini mlie tena?
 
Kwa mfano na uchaguzi mkuu nec wangeruhusu shahada moja ipige kura mara nyingi iwezavyo tungekuwa na viongizi hawa? Ingekuwa fare?

Hilo suala ndo mnalijua mwaka huu baaada ya msanii wa kimataifa kukosa tuzo?
 
Muulize Boss wako Diamond alikuwa anampendea nini Wema? Na followers wa Wema wanampendea nini? Hivi mpaka mashabiki wake wameanzisha Team Wema bado unamuona hana influence kwa watu anaofanana nao akili?

Wewe kilaza hapa tunazungumzia tuzo, kama unataka kuzungumzia mapenzi ya watu wasubiri wenzio muanzishe uzi.. Ushaniona ata siku moja umu najadili mapenzi ya yoyote? Mwanaume unakuja hapa na hoja ya Diamond alimpendea nini Wema!

Kama ni tuzo aliwekwa kama muigizaji, na alipigiwa kura kama muigizaji.. Ndio maana nikauliza 2014 alicheza movie gani akapendwa?
 
Kumbe hata mm ningejifungia ndani na machizi wangu kwa wiki mbili tukikesha kumpigia kura xxx angeshinda eeeh! Na ingekuwa ameshinda kwa kuchaguliwa na watu wengi. He he he
 
Mkuu naona kwako somo limekuwa gumu, Enewei hata hivyo si mlisema tuzo za ndani ni too local hivyo mnaachia wasanii wasijioweza nyie mnakomaa na tuzo za kimataifa kama BET, channel O, sasa ya nini mlie tena?

BET East AFrica nzima wameteuliwa Wakenya tu, sasa sijui Billionare wa Tandale anapanda au anashuka?
 
Wewe kilaza hapa tunazungumzia tuzo, kama unataka kuzungumzia mapenzi ya watu wasubiri wenzio muanzishe uzi.. Ushaniona ata siku moja umu najadili mapenzi ya yoyote? Mwanaume unakuja hapa na hoja ya Diamond alimpendea nini Wema!

Kama ni tuzo aliwekwa kama muigizaji, na alipigiwa kura kama muigizaji.. Ndio maana nikauliza 2014 alicheza movie gani akapendwa?

Kilaza Mama yako.
 
Kipindi anachotangaza Salim Kikeke kinataalishwa, kinazalishwa na kurushwa uingereza, huku tunapokea tu. Video za Diamond za Mdogo Mdogo na Ntampata Wapi zimefanyika na kuzalishwa South Africa ila zinachezwa na kuwa requested huku ..

Kikeke kila kitu chake kinafanyika nje ya nchi akaingizwa kwenye mchakato na watangazaji wa huku.

Diamond video zake zimefanyika nje ya nchi wakakataa kuziingiza kwenye mchakato eti sababu zimefanyika nje ya nchi.

We uoni kuna kitu akijakaa sawa hapa? Mtu akihisi wanamuhujumu anakosea hapa?

Kweli hapa kuna makosa yamefanyika maana kama ni kigezo cha nje hata Salim kike na kipindi chake hakiku stahili kuwepo kama walivyo fanya kwa video ya mdogo mdogo!

Lakini hizi tuzo zina dosari kubwa moja ambayo ni mtu mmoja kupiga kura zaidi ya mara moja au atakavyo...hii inaweza isilete uhalisia wa tunzo maana kumbe mtu anaweza akatenga laki tatu ili kujipigia kura tuu mwenyewe!

Hili wanapaswa kuli rekebisha na wanatakiwa kuhakikisha mtu mmoja anapiga kura moja lakini si atakavyo!
Mimi nilifikiri kura za watu ndio zina hamua mshindi kumbe anaweza piga kura zaidi ya moja ambayo haileti tafsiri halisi ya tuzo za watu!

Labda kama wana fanya biashara lakini kinyume na hapo wanatakiwa kujirekebisha..
 
BET East AFrica nzima wameteuliwa Wakenya tu, sasa sijui Billionare wa Tandale anapanda au anashuka?

Ooh yaan ww et bet wamechaguliwa wakenya tu ww unafatilia bet wapi we ongelea mambo ya Ktma bet nyamaza sasa ngoja nikuambie kwny bet kuna mtz anaitwa Millen magese anatuzo yke ya international global good award recipient huyu millen ndo yule happiness magese aliwahi kuwa miss Tanzania so sio Kenya tu hata tz tupo tena yeye ana haja ya kupigiwa kura iyo tuzo ipo tayari kwajili yke
 
Back
Top Bottom