TECNO Tanzania
Senior Member
- Jul 6, 2016
- 192
- 217
Kampuni ya TECNO bado ina endelea na Kampeni yake ya kila mechi ina mshindi katika msimu huu wa kombe la dunia ambapo ili kushiriki unachotakiwa kufanya ni kupost picha ya mtu umpendae na ujumbe mzuri wa upendo kisha kuutuma kwa kutumia Hashtag #SambazaFuraha na kuTag account ya Kampuni kwenye mtandao wa kijamii husika @tecnomobiletanzania.
Katika week ya kwanza washiriki mbali mbali waliosambaza furaha kwa wapendwa wao na kuwashindia simu mpya za toleo la CAMON 19.
Moja ya washindi bwana Geodfrey Sagumo alitoa shukrani zake kwa kampuni na kusema ‘’kampeni hii ni nzuri sana kwa jamii kwa sababu ina onganisha watu pamoja na kuwafanya wajue thamani ya wapendwa wao katika Maisha ya kila siku''.
Mshindi wetu wa kwanza akipokea zawai kutoka kwa Balozi wetu Kibwana Shomari
Pia muakilishi wa bwana Bwajideo alizungumza kwa niaba ya mshindi huyo na kusema ''Kampuni ya TECNO kwenye hii kampeni mmefanya kitu kikubwa sana maaana kupitia kampeni hii watu wengi wameweza kujua thamani na nafasi walizo nazo kwenye Maisha ya watu wengine.
Hiki kitu ni kizuri sana na tukiwa tunaelekea mwishoni mwa mwaka nivyema kumaliza tukiwa tumejawa na furaha tele miyoyoni mwetu. Pia alimalizia Kwa kusema hata mimi nitaenda kusambaza furaha kwa mtu nimpendae niweze kumshindia CAMON 19''.
Mwakilishi wa Bwana Bwajideo akipokea zawadi kwa niaba
Mshindi wetu wa mwisho alie mshindia rafiki yake simu ya CAMON 19 alisema ''nimefurahia sana kupokea zawadi kutoka TECNO na kuwahasa Watanzania wengine kuwa na tabia ya kutambua mchango wa watu wao wakaribu na kusambaza furaha kwa wapendwa wao ikiwa kama shukrani kwenye Maisha yao''.
Mshindi wetu wa tatu akipokea zawadi
Na wewe bado haujachelewa kumzawadia mpendwa wako simu Mpya ya Toleo la CAMON 19. Simu zina endelea kutoka kila siku yenye mechi. Shindano bado lina endelea na simu zinaendelea kutoka.
KILA MECHI INA MSHINDI, SAMBAZA FURAHA.
Katika week ya kwanza washiriki mbali mbali waliosambaza furaha kwa wapendwa wao na kuwashindia simu mpya za toleo la CAMON 19.
Moja ya washindi bwana Geodfrey Sagumo alitoa shukrani zake kwa kampuni na kusema ‘’kampeni hii ni nzuri sana kwa jamii kwa sababu ina onganisha watu pamoja na kuwafanya wajue thamani ya wapendwa wao katika Maisha ya kila siku''.
Mshindi wetu wa kwanza akipokea zawai kutoka kwa Balozi wetu Kibwana Shomari
Pia muakilishi wa bwana Bwajideo alizungumza kwa niaba ya mshindi huyo na kusema ''Kampuni ya TECNO kwenye hii kampeni mmefanya kitu kikubwa sana maaana kupitia kampeni hii watu wengi wameweza kujua thamani na nafasi walizo nazo kwenye Maisha ya watu wengine.
Hiki kitu ni kizuri sana na tukiwa tunaelekea mwishoni mwa mwaka nivyema kumaliza tukiwa tumejawa na furaha tele miyoyoni mwetu. Pia alimalizia Kwa kusema hata mimi nitaenda kusambaza furaha kwa mtu nimpendae niweze kumshindia CAMON 19''.
Mwakilishi wa Bwana Bwajideo akipokea zawadi kwa niaba
Mshindi wetu wa mwisho alie mshindia rafiki yake simu ya CAMON 19 alisema ''nimefurahia sana kupokea zawadi kutoka TECNO na kuwahasa Watanzania wengine kuwa na tabia ya kutambua mchango wa watu wao wakaribu na kusambaza furaha kwa wapendwa wao ikiwa kama shukrani kwenye Maisha yao''.
Mshindi wetu wa tatu akipokea zawadi
Na wewe bado haujachelewa kumzawadia mpendwa wako simu Mpya ya Toleo la CAMON 19. Simu zina endelea kutoka kila siku yenye mechi. Shindano bado lina endelea na simu zinaendelea kutoka.
KILA MECHI INA MSHINDI, SAMBAZA FURAHA.